Mossad foiled 50 ISIS terror attacks in 20 countries, including Turkey

we jamaa umepagawa nini!!!!...uyahudi ni dini na ndio maana waisrael wana mpango wa kuifanya dini hiyo iwe kwa waisrael tu,sababu watu wengine wanaingia katika hiyo dini(waethiopia),waisrael walishapotea siku nyingi,huyo netanyahu ni mzungu tu wa ulaya mashariki,shambulio la wtc ni kazi ya ndani ya marekani,waisrael walipata fununu wakaambiana waondoke,huwezi shambulia anga la marekani kwa muda wote ule ndege zisishambuliwe
Huifahamu vizuri historia ya hao kina Nyetanyahu wewe, halafu bahati mbaya sana sijui hua kwanini lazima uanze na kutukuna watu, kama kitu hukijui vizuri sio vibaya kujifunza. Ngoja tena nikwambie habari za hao kina Nyetanyahu; baba yake huyu jamaa anaeitwa Benyamini Nyetanyahu alikua mwalimu wa dini, kwa huku kwetu ungeweza kusema Sheikh au askofu, wao wanatumia neon RABI kwa lugha ya Kiebrania ( Kiisrael au ukipenda kwa leo sema Kiyahudi ). Yule jamaa aliyekua master mind wa ukombozi wa wale Wayahudi waliotekwa na Idd Amini miaka ya mwanzoni mwa 70 alikua kaka wa huyu waziri mkuu wa sasa, alikua anaitwa Jonathan Nyetanyahu, dogo alikua anasoma shule kwa kuahirisha ahirisha sana kwasababu ya vita na vita iliompotezea sana muda ni ile ya 1967 ile ya Waarabu dhidi ya taifa hilo, huyu dogo alizaliwa USA cause baba yake alikua akisafiri mara kwa mara kati ya USA na Israel wakati huyu Benyamini (soma Benjamini ) kazaliwa hapo hapo Israel, endelea kujidanganya kwamba jamaa ni mzungu. Hao watu hawana rangi moja, kuna Wazungu, waarabu, machotara wa Kiafrica na Kizungu nk; utofauti wao wa rangi ndio uliosaidia sana kuifanya Mosaid kua strong hivyo ilivyo leo. Unakumbuka aliyeharibu ile misheni ya Waarabu pale Misri miaka hiyo hiyo ya 60 mwishoni? Kwa taarifa yako, alikua mke wa mkuu wa majeshi wa Misri, mkuu wa majeshi alijua mkewe ni Mwarabu (Mmisri ) mwenzie, kumbe nae alikua Myahudi vile vile. Hawa jamaa uwachukie, uwapende, ndivyo walivyo.
 
nani kabisha!?..au unataka ukisema watu waseme "ndio mkuu"
Nimekwambia huyo uliomtolea mfano yaani mmiliki wa Facebook ni Myahudi kwa baba na mama but yeye haamini katika Mungu, sasa kwasababuu hiyo sio Myahudi tu kwasababu haamini katika Mungu? Mengine uwe una google tu then utaona hata wewe, acha kukariri kila kitu unacho fundishwa kijiweni. Uyahudi sio dini.
 
Kwani hadi leo unaamini kuwa WTC ililipuliwa na Osama na washirika wake!? Na pia unaamini kuwa Osama aliuawa Pakistan kipindi kile walichotangaza!? Maybe you are kidding bro.
Wherever we can call but waliotumika sana kuifahamu nyumba aliokua akiishi Osama ni hao hao tunao waita Waarabu but ukweli walikua Waarabu wenye damu ya Kiyahudi. Urafiki wa Marekani na Israel kimsingi ni kwasababu hiyo, CIA wanaweza kuwapata Waarabu ambao ni Wayahudi and hence wanaweza kuwapandikiza popote pale hasa pale mashariki ya kati. Halafu suala la Osama kuuawa na Wamarekani, hata tukitengeneza ubishi vipi, mkewe ali confirm hivyo, wewe na mimi tuoliopo huku bongo hata tukibisha unadhani tutaubadiri ukweli? Baada ya tangazo la KIFO cha osama, rais wa wakati huo wa USA alitangaza hadharani kwamba, Osama hamtamuona tena, na ni kweli baada ya lile tangazo, zile video alizokua anatuma through TV ya Aljazeera hatuzioni tena. But anyway, is the world of democracy, you believe what you think is right and let me do it as well, kuamini kitu kisicho kuwepo pia sometimes kinakupa relief ya moyo and hence yaweza kupunguza kiasi cha hasira na chuki ulizo nazo kwa mtu au taifa kama Marekani, Israel etc.
 
Huifahamu vizuri historia ya hao kina Nyetanyahu wewe, halafu bahati mbaya sana sijui hua kwanini lazima uanze na kutukuna watu, kama kitu hukijui vizuri sio vibaya kujifunza. Ngoja tena nikwambie habari za hao kina Nyetanyahu; baba yake huyu jamaa anaeitwa Benyamini Nyetanyahu alikua mwalimu wa dini, kwa huku kwetu ungeweza kusema Sheikh au askofu, wao wanatumia neon RABI kwa lugha ya Kiebrania ( Kiisrael au ukipenda kwa leo sema Kiyahudi ). Yule jamaa aliyekua master mind wa ukombozi wa wale Wayahudi waliotekwa na Idd Amini miaka ya mwanzoni mwa 70 alikua kaka wa huyu waziri mkuu wa sasa, alikua anaitwa Jonathan Nyetanyahu, dogo alikua anasoma shule kwa kuahirisha ahirisha sana kwasababu ya vita na vita iliompotezea sana muda ni ile ya 1967 ile ya Waarabu dhidi ya taifa hilo, huyu dogo alizaliwa USA cause baba yake alikua akisafiri mara kwa mara kati ya USA na Israel wakati huyu Benyamini (soma Benjamini ) kazaliwa hapo hapo Israel, endelea kujidanganya kwamba jamaa ni mzungu. Hao watu hawana rangi moja, kuna Wazungu, waarabu, machotara wa Kiafrica na Kizungu nk; utofauti wao wa rangi ndio uliosaidia sana kuifana Mosaid kua strong hivyo ilivyo leo. Unakumbuka aliyeharibu ile misheni ya Waarabu pale Misri miaka hiyo hiyo ya 60 mwishoni? Kwa taarifa yako, alikua mke wa mkuu wa majeshi wa Misri, mkuu wa majeshi alijua mkewe ni Mwarabu (Mmisri ) mwenzie, kumbe nae alikua Myahudi vile vile. Hawa jamaa uwachukie, uwapende, ndivyo walivyo.
Hawa jamaa ni MULTIRACIAL so kila sehemu wameweka watu wao wa race hio
 
Wherever we can call but waliotumika sana kuifahamu nyumba aliokua akiishi Osama ni hao hao tunao waita Waarabu but ukweli walikua Waarabu wenye damu ya Kiyahudi. Urafiki wa Marekani na Israel kimsingi ni kwasababu hiyo, CIA wanaweza kuwapata Waarabu ambao ni Wayahudi and hence wanaweza kuwapandikiza popote pale hasa pale mashariki ya kati. Halafu suala la Osama kuuawa na Wamarekani, hata tukitengeneza ubishi vipi, mkewe ali confirm hivyo, wewe na mimi tuoliopo huku bongo hata tukibisha unadhani tutaubadiri ukweli? Baada ya tangazo la KIFO cha osama, rais wa wakati huo wa USA alitangaza hadharani kwamba, Osama hamtamuona tena, na ni kweli baada ya lile tangazo, zile video alizokua anatuma through TV ya Aljazeera hatuzioni tena. But anyway, is the world of democracy, you believe what you think is right and let me do it as well, kuamini kitu kisicho kuwepo pia sometimes kinakupa relief ya moyo and hence yaweza kupunguza kiasi cha hasira na chuki ulizo nazo kwa mtu au taifa kama Marekani, ISrael etc.
Mwaka utakaokuja kufahamu how the world works utakubaliana nami ila anyway kama ulivosema let you believe what you think is right and let me do the same thing.
 
Suala si udini bali ni facts.

Kiuhalisia hasa, hii ni vita dhidi ya uislam na waislam, hilo huwezi kulitoa. Na vita hii ni ya asili na ni myahudi ndiye mpiganaji wa hii vita, alipoona hawezi kushinda yeye kama yeye ndipo alipoamua kuwahusisha na wale wengine (wakristu, e.t.c) ili wamsaidie.

Kila mmoja leo akitajiwa ugaidi anajua ni uislam, wakati huo uislam ulikuwepo kabla ya so called 'TERRORISM'.

Amin amin nawaambia, bila myahudi katika hii dunia, basi duniani pangekuwa mahali salama pa kuishi.

(Na ndio maana Adolf Hitler alipolifahamu hili alitaka awafute wayahudi katika uso wa dunia).
Watakaokuelewa ni wale watakaojivua kibanzi cha udini waelewe, Nicolasi Sacoz ni Myahudi, Abromovic, wafanya maamuzi wengi USA ni Israelite Most ulaya and USA monetary and intelligents units and interteinments and medias zinaendeshWa kwa maslahi ya yawahudu ndomana unaona Ulaya wenyeji wengi wanawachukia wayahudi kwa kujua kwamba wanawahujumu na hawana cha kuwafanya, caz jamaa wamepandikiza watu wao kila sehemu yenye maslahi na akizingua unauawa kimafia au unakuwa blackmailed

 
Wherever we can call but waliotumika sana kuifahamu nyumba aliokua akiishi Osama ni hao hao tunao waita Waarabu but ukweli walikua Waarabu wenye damu ya Kiyahudi. Urafiki wa Marekani na Israel kimsingi ni kwasababu hiyo, CIA wanaweza kuwapata Waarabu ambao ni Wayahudi and hence wanaweza kuwapandikiza popote pale hasa pale mashariki ya kati. Halafu suala la Osama kuuawa na Wamarekani, hata tukitengeneza ubishi vipi, mkewe ali confirm hivyo, wewe na mimi tuoliopo huku bongo hata tukibisha unadhani tutaubadiri ukweli? Baada ya tangazo la KIFO cha osama, rais wa wakati huo wa USA alitangaza hadharani kwamba, Osama hamtamuona tena, na ni kweli baada ya lile tangazo, zile video alizokua anatuma through TV ya Aljazeera hatuzioni tena. But anyway, is the world of democracy, you believe what you think is right and let me do it as well, kuamini kitu kisicho kuwepo pia sometimes kinakupa relief ya moyo and hence yaweza kupunguza kiasi cha hasira na chuki ulizo nazo kwa mtu au taifa kama Marekani, ISrael etc.
Lol....

Point of correction, Pakistan si waarabu.
Hii inaonesha hukijui ukizungumziacho zaidi ya 'hearsay'

Hiyo ilikuwa ni movie na mission completed na ndio maana wakamfuta 'Osama'.

Ushawahi jiuliza, kwa namna U.S.A walivokuwa wakimsaka Osama, wampate kisha wamuue na wamzike kimyakimya bila kutuonesha hata namna gani na wapi wamemzika!? Come on man na hili pia lahitaji degrees kuligundua kuwa ni picha la kihindi!???
 
Lol....

Point of correction, Pakistan si waarabu.
Hii inaonesha hukijui ukizungumziacho zaidi ya 'hearsay'

Hiyo ilikuwa ni movie na mission completed na ndio maana wakamfuta 'Osama'.

Ushawahi jiuliza, kwa namna U.S.A walivokuwa wakimsaka Osama, wampate kisha wamuue na wamzike kimyakimya bila kutuonesha hata namna gani na wapi wamemzika!? Come on man na hili pia lahitaji degrees kuligundua kuwa ni picha la kihindi!???
All in All Israel runs this world in every aspect
 
Huifahamu vizuri historia ya hao kina Nyetanyahu wewe, halafu bahati mbaya sana sijui hua kwanini lazima uanze na kutukuna watu, kama kitu hukijui vizuri sio vibaya kujifunza. Ngoja tena nikwambie habari za hao kina Nyetanyahu; baba yake huyu jamaa anaeitwa Benyamini Nyetanyahu alikua mwalimu wa dini, kwa huku kwetu ungeweza kusema Sheikh au askofu, wao wanatumia neon RABI kwa lugha ya Kiebrania ( Kiisrael au ukipenda kwa leo sema Kiyahudi ). Yule jamaa aliyekua master mind wa ukombozi wa wale Wayahudi waliotekwa na Idd Amini miaka ya mwanzoni mwa 70 alikua kaka wa huyu waziri mkuu wa sasa, alikua anaitwa Jonathan Nyetanyahu, dogo alikua anasoma shule kwa kuahirisha ahirisha sana kwasababu ya vita na vita iliompotezea sana muda ni ile ya 1967 ile ya Waarabu dhidi ya taifa hilo, huyu dogo alizaliwa USA cause baba yake alikua akisafiri mara kwa mara kati ya USA na Israel wakati huyu Benyamini (soma Benjamini ) kazaliwa hapo hapo Israel, endelea kujidanganya kwamba jamaa ni mzungu. Hao watu hawana rangi moja, kuna Wazungu, waarabu, machotara wa Kiafrica na Kizungu nk; utofauti wao wa rangi ndio uliosaidia sana kuifana Mosaid kua strong hivyo ilivyo leo. Unakumbuka aliyeharibu ile misheni ya Waarabu pale Misri miaka hiyo hiyo ya 60 mwishoni? Kwa taarifa yako, alikua mke wa mkuu wa majeshi wa Misri, mkuu wa majeshi alijua mkewe ni Mwarabu (Mmisri ) mwenzie, kumbe nae alikua Myahudi vile vile. Hawa jamaa uwachukie, uwapende, ndivyo walivyo.
hujui kitu,kwa nini wanajiita 'the 13th'!?..yaani kabila la 13 la wana wa israel?
 
hujui kitu,kwa nini wanajiita 'the 13th'!?..yaani kabila la 13 la wana wa israel?
Mkuu, ujue unabadirika badirika sana, mara ya kwanza ulisema Wayahudi sio kabila bali ni DINI, so nikueleweje? Kua na msimamo basi, nimekupa nondo za kukuthibitishia kwamba Uyahudi sio dini tu bali ni watu wenye dini mchanganyiko hadi wasio amini katika Mungu wapo ( mfano ni huyo mmiliki wa Facebook kama ulivyo mtaja wewe) then unaleta story mpya. Anyway, nilicho jifunza kwako ni kwamba, umejaza kichwani story nyingi za vijiweni so unapokutana na facts unajikuta unapoteza mwelekeo, twende mbele hivyo hivyo.
 
Mkuu, ujue unabadirika badirika sana, mara ya kwanza ulisema Wayahudi sio kabila bali ni DINI, so nikueleweje? Kua na msimamo basi, nimekupa nondo za kukuthibitishia kwamba Uyahudi sio dini tu bali ni watu wenye dini mchanganyiko hadi wasio amini katika Mungu wapo ( mfano ni huyo mmiliki wa Facebook kama ulivyo mtaja wewe) then unaleta story mpya. Anyway, nilicho jifunza kwako ni kwamba, umejaza kichwani story nyingi za vijiweni so unapokutana na facts unajikuta unapoteza mwelekeo, twende mbele hivyo hivyo.


 
Mkuu, ujue unabadirika badirika sana, mara ya kwanza ulisema Wayahudi sio kabila bali ni DINI, so nikueleweje? Kua na msimamo basi, nimekupa nondo za kukuthibitishia kwamba Uyahudi sio dini tu bali ni watu wenye dini mchanganyiko hadi wasio amini katika Mungu wapo ( mfano ni huyo mmiliki wa Facebook kama ulivyo mtaja wewe) then unaleta story mpya. Anyway, nilicho jifunza kwako ni kwamba, umejaza kichwani story nyingi za vijiweni so unapokutana na facts unajikuta unapoteza mwelekeo, twende mbele hivyo hivyo.
uyahudi ulianza lini?..kama sio dini tu je ni nini katika utimilifu wake?..myahudi ni nani?..kinachokuchanganya ni kwamba wayahudi wanachanganya dini yao ya kiyahudi na race(kabila) yao
 
hili halina ukweli wowote,pitia mkataba wa picot and sykes uone ufaransa na uingereza walivyotengeneza taifa la israel kwa manufaa yao
unapata taabu sana mkuu
Israel was there long before UK and France 3000 years ago
 
uyahudi ulianza lini?..kama sio dini tu je ni nini katika utimilifu wake?..myahudi ni nani?..kinachokuchanganya ni kwamba wayahudi wanachanganya dini yao ya kiyahudi na race(kabila) yao
Rudi kwenye mchango wangu wa mwanzo kabisa kule juu ulipoleta mambo ya facebook, nilikwambia NENO WAYAHUDI/UYAHUDI ulianza lini, sina sababu ya kurudi rudia nilicho kwisha kukijadiri.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom