Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
*Tundu Lisu Kupigwa Risasi Sio Swala La Uchama*
Baada ya kuona post
Maana pasipo kujua chanzo cha tatizo Huwezi Kutatua Tatizo,
Ni lazima tujue, Ukiwa Na Kiongozi wa Ngazi Yeyote Awe Rais, Mbunge au Diwani Katika Eneo lake La Nchi , Jimbo au Kata kukawa Na vifo vingi vya malaria au typhoid lakini Kiongozi huyo badala ya kushughulikia kuondoa/ kupambana Na Mbu ili kuondoa maralia au kuhakikisha analeta maji safi ili kupambana Na typhoid yeye akawa analeta vidonge vingi watu wanywe Mtu huyo hafai kuwa Kiongozi, Maana kila siku watu watazidi kuugua Na vifo havitakoma.
#Pili, Hoja ya msingi ni Tundu Lisu kupigwa Risasi, je Ni Sawa Mtu kupigwa Risasi ??
Naomba Nikumbushe Kwetu Sisi Tanzania Sheria Yetu Mama ni Katiba Kwa Ufupi sisi kama Nchi Tunaunganishwa Na tunaongozwa Na Katika
kwa mjibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania 🇹🇿 ya mwaka 1977 hakuna ibara ,wala ibara ndogo ya Katiba inayoonyesha Mtu Aliyekosea kosa lolote Apigwe Risasi Ibara Hiyo Haipo. Kwa Hiyo Lisu Hata Kama Angekuwa Ana kosa la aina yeyote (kama lipo) Hakutakiwa Kupigwa Risasi hiyo ndo hoja ya msingi.
#Tatu, Kwa mjibu wa sheria ya makosa ya jinai sura ya 16 imesema kuwa ni kosa kupanga njama za kumsababishia mtu maumivu au kuua , Hivyo haijalishi mpango huo muovu umepangwa Na nani hoja ni kuwa hairuhusiwi kupanga njama za kuua, maana pia katiba yetu ibara ya 13 imesema watu wote sisi ni sawa vile vile hakuna atakae kuwa juu ya sheria,
#Nne, Sisi kama watanzani bila kujali Vyama vyetu wala kujali kabila au dini ni lazima tujue mtu au watu kupanga njama za kumuua mtu ni kosa kisheria, tukishaelewana hapo ndo tuchangie mjadara maana tukiruhusu Na kuona mtu kuuwawa ni sawa kisa ni mtu wa chama ambacho wewe hukipendi #TUTAANGAMIA
#Mwisho, Kwa Mjibu Wa Sheria zetu polisi wanawajibu wa kuchunguza Na kuwabaini watu wote waliohusika Na tukio lile Na wafikishwe mahakamani Na mahakama wakijiridhisha bila kuacha Shaka kuwa watu hao waliopelekwa Ndio waliohusika Na tukio hilo watapewa adhabu yao kwa mjibu wa sheria,
Ukiona mambo haya hayajafanyika weka akirini tafakari je nchi yetu bado inaongozwa kwa mjibu wa Katiba Na sheria?????????
#Nitarudi
Mwanahabari Huru
Baada ya kuona post
Maana pasipo kujua chanzo cha tatizo Huwezi Kutatua Tatizo,
Ni lazima tujue, Ukiwa Na Kiongozi wa Ngazi Yeyote Awe Rais, Mbunge au Diwani Katika Eneo lake La Nchi , Jimbo au Kata kukawa Na vifo vingi vya malaria au typhoid lakini Kiongozi huyo badala ya kushughulikia kuondoa/ kupambana Na Mbu ili kuondoa maralia au kuhakikisha analeta maji safi ili kupambana Na typhoid yeye akawa analeta vidonge vingi watu wanywe Mtu huyo hafai kuwa Kiongozi, Maana kila siku watu watazidi kuugua Na vifo havitakoma.
#Pili, Hoja ya msingi ni Tundu Lisu kupigwa Risasi, je Ni Sawa Mtu kupigwa Risasi ??
Naomba Nikumbushe Kwetu Sisi Tanzania Sheria Yetu Mama ni Katiba Kwa Ufupi sisi kama Nchi Tunaunganishwa Na tunaongozwa Na Katika
kwa mjibu wa katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania 🇹🇿 ya mwaka 1977 hakuna ibara ,wala ibara ndogo ya Katiba inayoonyesha Mtu Aliyekosea kosa lolote Apigwe Risasi Ibara Hiyo Haipo. Kwa Hiyo Lisu Hata Kama Angekuwa Ana kosa la aina yeyote (kama lipo) Hakutakiwa Kupigwa Risasi hiyo ndo hoja ya msingi.
#Tatu, Kwa mjibu wa sheria ya makosa ya jinai sura ya 16 imesema kuwa ni kosa kupanga njama za kumsababishia mtu maumivu au kuua , Hivyo haijalishi mpango huo muovu umepangwa Na nani hoja ni kuwa hairuhusiwi kupanga njama za kuua, maana pia katiba yetu ibara ya 13 imesema watu wote sisi ni sawa vile vile hakuna atakae kuwa juu ya sheria,
#Nne, Sisi kama watanzani bila kujali Vyama vyetu wala kujali kabila au dini ni lazima tujue mtu au watu kupanga njama za kumuua mtu ni kosa kisheria, tukishaelewana hapo ndo tuchangie mjadara maana tukiruhusu Na kuona mtu kuuwawa ni sawa kisa ni mtu wa chama ambacho wewe hukipendi #TUTAANGAMIA
#Mwisho, Kwa Mjibu Wa Sheria zetu polisi wanawajibu wa kuchunguza Na kuwabaini watu wote waliohusika Na tukio lile Na wafikishwe mahakamani Na mahakama wakijiridhisha bila kuacha Shaka kuwa watu hao waliopelekwa Ndio waliohusika Na tukio hilo watapewa adhabu yao kwa mjibu wa sheria,
Ukiona mambo haya hayajafanyika weka akirini tafakari je nchi yetu bado inaongozwa kwa mjibu wa Katiba Na sheria?????????
#Nitarudi
Mwanahabari Huru