<br /><font size="4"><i><u><b>M</b>ungu <b>O</b>nyesha <b>S</b>asa <b>H</b>ela <b>I</b>lipo</u> <font size="3">ni maneno ya mmoja wa wasema chocote hapa Arusha</font></i></font>
Nimekubali Mekkuhicho ni kirefu cha "moshi" kule kwa wachaga a.k.a Mungu Onyesha Sehemu Hela Ilipo
<br />hawa jamaa hata mkasi ukidondoka wanadai fedha zao. Sasa silver hazitumiki tena sijui watadai nini. Kudaddaddadeki.