Moshi unafuka,Diamond amekataa Lemutuz kurudia wimbo wa "tatizo kwetu Mbagala"

zipo kazi hakika zina expire mapema but sio muziki!!
mf.lawyer na doctors ni watu wanaoweza kuhudumu mpaka katika hali ya ukongwe wao!
same to musician!
 
Hivi huyu mtu mbona simwelew elewi au alivuka stage, kwa nini akina baba wenzake wenye mapenzi mema msimshauri jinsi ya kuishi kulingana na umri uliofikisha.

kukukibali kwamba umri huu ni wakulea kufanya kazi kwa bidii, kutunza family watoto wasome wapate sehemu nzuri ya kuishi.
""HOW TO AGE GRACEFULLY" asome hii ktabu itamsaidia
Kweli kabisa. Kwamba kuna tabia zinaendana na umri.
 
Mtanzania anayejuana na mabilionea wengi kuliko Mtanzania yoyote yule nchini lakini bado anakaa kwa mshua na hata hajawahi kununua luku amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukataliwa kufanya remix ya wimbo wa "tatizo kwetu Mbagala". Chanzo chetu kinadai jamaa huyo alikuwa ameenda studio kufanya kitu kama remix ya wimbo huo na kuupa jina la "TATIZO KWETU DOWNTOWN" lkn alipocheki na simba huyo alimchomolea na kumshauri awekeze nguvu nyingi Instagram maana upande huo unahitaji akili na kipaji cha hali ya juu.
12353821_909568962424863_2068470092_a.jpg


Tulipouvutia waya uongozi wa Wasafi ulidai gwiji hilo la mitandao ya kijamii ni vigumu sana kutusua kwenye anga za mziki ukizingatia umri unamtupa mkono, "unajua hustle za mziki zinahitaji kama miaka minne ili utoke,sasa kwa sasa hivi King ana miaka 61 na ukiongeza miaka 4,atakuwa na miaka 65,mpaka hapo huwezi kumuita tena ni msanii wa kizazi kipya maana hamna msanii wa kizazi kipya mwenye miaka 50" aliongeza afisa wasanii kutoka huko Usafini.

Tulipompigia simu king simu iliita bila mafanikio

Source : blog ya wanamuziki
Ila jamaa hua anapiga picha akiwa kwenye apartment flani ivi, ndo anapaita home
 
Oooohhh...mpeni chance jamani.. Juzi nimemwona mzee wa 70 yrs kwenye america got talent na amefanya mambo makubwa! Wakamuliza kwa nini ameficha kipaji cku zote??? Anasema alikua akisumbuliwa na kigugumizi!!!tehteh
 
Aisee huyu mtu naye ajirafakari upya kwakweli!
Kama vipi arudi baharini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom