Ages is a number! ktk muziki umri hauzuii lolote!!!mhh le mutuz alikuwa wapi kuwa msanii wakat anamiaka 30
Kweli kabisa. Kwamba kuna tabia zinaendana na umri.Hivi huyu mtu mbona simwelew elewi au alivuka stage, kwa nini akina baba wenzake wenye mapenzi mema msimshauri jinsi ya kuishi kulingana na umri uliofikisha.
kukukibali kwamba umri huu ni wakulea kufanya kazi kwa bidii, kutunza family watoto wasome wapate sehemu nzuri ya kuishi.
""HOW TO AGE GRACEFULLY" asome hii ktabu itamsaidia
Ila jamaa hua anapiga picha akiwa kwenye apartment flani ivi, ndo anapaita homeMtanzania anayejuana na mabilionea wengi kuliko Mtanzania yoyote yule nchini lakini bado anakaa kwa mshua na hata hajawahi kununua luku amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukataliwa kufanya remix ya wimbo wa "tatizo kwetu Mbagala". Chanzo chetu kinadai jamaa huyo alikuwa ameenda studio kufanya kitu kama remix ya wimbo huo na kuupa jina la "TATIZO KWETU DOWNTOWN" lkn alipocheki na simba huyo alimchomolea na kumshauri awekeze nguvu nyingi Instagram maana upande huo unahitaji akili na kipaji cha hali ya juu.
Tulipouvutia waya uongozi wa Wasafi ulidai gwiji hilo la mitandao ya kijamii ni vigumu sana kutusua kwenye anga za mziki ukizingatia umri unamtupa mkono, "unajua hustle za mziki zinahitaji kama miaka minne ili utoke,sasa kwa sasa hivi King ana miaka 61 na ukiongeza miaka 4,atakuwa na miaka 65,mpaka hapo huwezi kumuita tena ni msanii wa kizazi kipya maana hamna msanii wa kizazi kipya mwenye miaka 50" aliongeza afisa wasanii kutoka huko Usafini.
Tulipompigia simu king simu iliita bila mafanikio
Source : blog ya wanamuziki
Mbona baba swalehe imesha mtoa bila hata yeye kuimba?Le Mutuz anataka pakutokea nae azidi kujulikana. Vizuri kama ameamua kuimba, ajitungie zakw au afate wasanii wengine.
HahahahahahSio JF tuuu anamiliki mpaka instagram..