Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
Halmashauri ya Wilaya ya Moshi imepiga marufuku baa zinazouza mbege kufunguliwa pamoja na kupika chakula kwenye misiba.
Katazo hilo limetolewa leo Ijumaa Machi 5, 2021 na mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Moris Makoi akibainisha kuwa lengo ni kupunguza maambukizi ya magonjwa ya mfumo wa hewa.
Amesema watu husafiri kutoka mikoa mbalimbali na kuingia Moshi kwa ajili ya kushiriki mazishi na kusababisha msongamano, hasa wakati wa kula.
"Tumeshirikiana na viongozi wa dini pamoja na halmashauri ili kudhibiti hali hiyo kutokana na kuwepo kwa maambukizi ya magonjwa mbalimbali,”
Mwananchi
Katazo hilo limetolewa leo Ijumaa Machi 5, 2021 na mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Moris Makoi akibainisha kuwa lengo ni kupunguza maambukizi ya magonjwa ya mfumo wa hewa.
Amesema watu husafiri kutoka mikoa mbalimbali na kuingia Moshi kwa ajili ya kushiriki mazishi na kusababisha msongamano, hasa wakati wa kula.
"Tumeshirikiana na viongozi wa dini pamoja na halmashauri ili kudhibiti hali hiyo kutokana na kuwepo kwa maambukizi ya magonjwa mbalimbali,”
Mwananchi