Moshi na Arusha: Kwanini vijana wanaita wenzao 'mapaka'?

Niaje arifu,chali angu ni kwere,Jana nilienda kwa maza nilichanja gomba hatari mida mida si ikaisha,tukahamia kwenye mkokaaa yereeeeeuuuuwiiiii!
Chaliangu hiyo kwikwi ati...halafu kuna paka anataka nitoa upepo...inshamshtukia mapema maaaaaamaye ni shida ati chaaaaaaa!
 
Niaje arifu,chali angu ni kwere,Jana nilienda kwa maza nilichanja gomba hatari mida mida si ikaisha,tukahamia kwenye mkokaaa yereeeeeuuuuwiiiii!
Chaliangu hiyo kwikwi ati...halafu kuna paka anataka nitoa upepo...inshamshtukia mapema maaaaaamaye ni shida ati chaaaaaaa!
Hamna chalii anaebonga hivyo labda manzi
 
Sipendaji mshahara kupanda haisaidii chochote zaid ya kupanda garama ya maisha ninachoomba mshahara usipande bali thamani ya pesa ipande hapo ndio dili....ndio mana nxhi za watu hutasikia habar ya kupandisha mshahara kwa hili niko sawa na mzee wa kaya...effects za kupanda mshahara ninkubwa kuliko kuuacha na kukazana na value of money.
 
Hiyo jamii huko ni balaa kabisa. Jeuri na dharau ndio asili yao haswa akiwa na vijisenti kidogo ndio balaa kabisa
 
Mbona hata wanaume tunaitana "FISI"kutokana na tabia zetu wkt mwingine na hatuoni kama ni tatizo?
 
Back
Top Bottom