Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,142
- 12,187
Dah!Wababa wasiku hizi 50 mizinga yakufa mtu sasa ukute mwanaye ndiyo anakazi yakuajiriwa ndiyo atakoma, labda huo umri awe mwajiriwa kidogo afadhali siku hizi wababa ni shida sana bora huyo alikuwa anajishughulisha
Sent using Jamii Forums mobile app
50 kachoka!
Hii sasa ni balaa.
Lakini waweza kuta ni roho ya kubweteka na kudekeza uomba omba.
Sent using Jamii Forums mobile app