Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,029
- 173,692
Wachuga wanasemaga,,,”Imeisha hioooo”Wameona noma kwelii maana kiukwel harudi
Wachuga wanasemaga,,,”Imeisha hioooo”Wameona noma kwelii maana kiukwel harudi
Huku mirungi imejaa tele.Af wamemshukia kimei aombe msamaha juzi😅
Na siyo kijiji hapo tunakulaga nyama choma na smirnoff ice kwa Edos.Jina la Kijiji tu ni KIBORO sasa unategemea nn?..
We jamaa huwa una umama sana. Mjini ni Tarakea kwa Rombo fala wewe. Mkuu ni makao makuu tu ya Rombo. Utapata mimba ya RomboIla ni kijijini tu Mkuu wala usidhani ni town, ila ndio town ya Rombo.
Kijijin hamna nyama choma na Smirnoff mkuu?...Na siyo kijiji hapo tunakulaga nyama choma na smirnoff ice kwa Edos.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Wanasema wanaupiga mwingiHivi magendo yanawaumiza nini? Kuna mtu kadhulumiwa? Watu wanapambana na harakati zao wengine wanabanwa na genye tu. Watoto wa kiume wanatesekaaa... pambana utoboe fala wewe
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mkuu.. inategemeana. Kama vijijini kwenu hakuna exposure wataijulia wapi smirnoff ice? People are exposed. Yaan hii hate inayotolewa hapa na sehemu husika ni totally different. Mkuu ni mji mkuu wa wilaya. Ndo makao makuu. Sisi kule pote ni kijijini maana hata hapo anapoforce yeye sijui nini ni kijijin kbs. Ni vile ni taratibu tu kwamba hapa pawe hivi hapa pawe vile. Kiboro ni highway ya kwenda makao makuu, stendi na hospitali.... pia kwenda tarakea mpaka rongai huko na pia kwenda moshi. Sisi kote kule ni migomba imejaa tu. Nyumbani kwa mtu akaweka kigrocery tuu tayari ni mjini? Sisi mjini ni moshi bwana. Angalau Tarakea kuko exposed ambapo ndo mwisho huko kina custom etc. Mtu anavyotapika utumbo hapa utafikiri ni maskini wa kutupwa ilihali anaelewa hata mapato na viwanda vimejaa. Wivu wa kindengereko kbs huu. Unakuta mwanaume mzima anapindisha mshipa wa tkao kuongea ufala hapa. Halaf utakuta ni kitumishi kimeajiriwa huko tu na kimshahata chake cha kufutia machozi ila yuko so bitter. We are ahead of time. Mlitaka tukate migomba ili tupoteze culture yetu? Tutaendelea kiwachukua madada zenu wawe mabeki tatu wetu maana wakifilaga kule wanapaita mjini sisi tunaishia kushangaa. Mmeshazoea kuishi na wanyama mutaachaje kuwa na makasiriko. Tena mkome. Wewe fala wa salary ya 300k tulia.Kijijin hamna nyama choma na Smirnoff mkuu?...
Tafuteni pesa ilimradi hamumdhuru mtu. Wao mafisadi wanaona raha kula kodi zetu ila magendo yakipitishwa tu wanawashwaWanasema wanaupiga mwingi
Shangaa wewe mwanangu...Kwanini mirungi ni haramu Ila tumbaku ni halali?
Sawa miss pablo umeelewekaMkuu.. inategemeana. Kama vijijini kwenu hakuna exposure wataijulia wapi smirnoff ice? People are exposed. Yaan hii hate inayotolewa hapa na sehemu husika ni totally different. Mkuu ni mji mkuu wa wilaya. Ndo makao makuu. Sisi kule pote ni kijijini maana hata hapo anapoforce yeye sijui nini ni kijijin kbs. Ni vile ni taratibu tu kwamba hapa pawe hivi hapa pawe vile. Kiboro ni highway ya kwenda makao makuu, stendi na hospitali.... pia kwenda tarakea mpaka rongai huko na pia kwenda moshi. Sisi kote kule ni migomba imejaa tu. Nyumbani kwa mtu akaweka kigrocery tuu tayari ni mjini? Sisi mjini ni moshi bwana. Angalau Tarakea kuko exposed ambapo ndo mwisho huko kina custom etc. Mtu anavyotapika utumbo hapa utafikiri ni maskini wa kutupwa ilihali anaelewa hata mapato na viwanda vimejaa. Wivu wa kindengereko kbs huu. Unakuta mwanaume mzima anapindisha mshipa wa tkao kuongea ufala hapa. Halaf utakuta ni kitumishi kimeajiriwa huko tu na kimshahata chake cha kufutia machozi ila yuko so bitter. We are ahead of time. Mlitaka tukate migomba ili tupoteze culture yetu? Tutaendelea kiwachukua madada zenu wawe mabeki tatu wetu maana wakifilaga kule wanapaita mjini sisi tunaishia kushangaa. Mmeshazoea kuishi na wanyama mutaachaje kuwa na makasiriko. Tena mkome. Wewe fala wa salary ya 300k tulia.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Sisi Waafrika(Watanzania wakiwemo) hatutendeani haki hata kidogo. Sheria zetu zinapitishwa Bungeni kwa mihemko na ujinga. Kuweka mirungi kwenye kundi moja na cocaine na heroine ni uwendawazimu kabisa
Mkuu sikatai suala la kutunza wazazi, lakini kusema miaka 70, kwa mtu na afya yake, mbona anafanya kazi za kujitafutia riziki kama kawaida tu?Maisha magumu mpaka wazee wameamua liwalo na liwe,
Mzee wa miaka 71 hakua anatunzwa na wanawe? hakua na ndugu?
Tujaribu kuwatunza wazee wetu na kuwapa mahitaji yao,leo hii kama huyo mzee ana watoto wakisikia amehukumiwa kwenda jela miaka 20 bila shaka watajuta kumtelekeza but itakua too late!
Huyo mzee alikamatwa na mirungi hiyo ikiwa ndani ya gari yake.Maisha magumu mpaka wazee wameamua liwalo na liwe,
Mzee wa miaka 71 hakua anatunzwa na wanawe? hakua na ndugu?
Tujaribu kuwatunza wazee wetu na kuwapa mahitaji yao,leo hii kama huyo mzee ana watoto wakisikia amehukumiwa kwenda jela miaka 20 bila shaka watajuta kumtelekeza but itakua too late!
Uzeeni unatafuta pesa halali siyo ukae tu hapana kama unanguvu tafuta hela halali.Ila kuna wazee wengine bhana! Sasa we namiaka yote hiyo bado unatafuta pesa tu?
Kuna umri ukitimiza unatakiwa kutafuta msamaha kwa mola wako, kwa yale yote uliyo yafanya ukiwa kijana, sio kutafuta pesa tu mpaka uzeeni.
Conclusion ya kwamba ametekelezwa na watoto wake umeifikia vipi?Maisha magumu mpaka wazee wameamua liwalo na liwe,
Mzee wa miaka 71 hakua anatunzwa na wanawe? hakua na ndugu?
Tujaribu kuwatunza wazee wetu na kuwapa mahitaji yao,leo hii kama huyo mzee ana watoto wakisikia amehukumiwa kwenda jela miaka 20 bila shaka watajuta kumtelekeza but itakua too late!
Wababa wasiku hizi 50 mizinga yakufa mtu sasa ukute mwanaye ndiyo anakazi yakuajiriwa ndiyo atakoma, labda huo umri awe mwajiriwa kidogo afadhali siku hizi wababa ni shida sana bora huyo alikuwa anajishughulishaMkuu sikatai suala la kutunza wazazi, lakini kusema miaka 70, kwa mtu na afya yake, mbona anafanya kazi za kujitafutia riziki kama kawaida tu?
Tena wengine kwa umri huo unawakuta shambani wakilima, labda afya iwe mgogoro!
Sent using Jamii Forums mobile app