Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,809
- 93,587
Lazima ataachiwa dikteta mwingine kulinda maslahi ya dikteta labda tupate MzanzibarAwamu hii,na sio awamu zijazo
Lazima ataachiwa dikteta mwingine kulinda maslahi ya dikteta labda tupate MzanzibarAwamu hii,na sio awamu zijazo
Hakuna kurudia hpo.. uko sawa hesabu ya kjuamlisha na kutoa tu hiyo hata gawanya hufikiNirudie nini ??, we ndo rudia , unakrupuka tuu, stend Gharama ni bil 28 , mkandarasi anadai bil 1....matokeo ya shule za kata tabu sana
Kwani ile stand pale Mbezi Mwisho inajengwa kwa shilling ngapi?Ukubwa wake ni upi!? Gharama ya kujenga mita moja ya mraba ni kati ya sh. 500k na milioni moja na nusu.
Fanya nusu ya gharama zote ni jengo.. na nusu ni miundombinu. Bado huwezi sema jengo hilo lina mita za mraba 9500. Ambazo ni karibia viwanja viwili vya mpira wa miguu.
Tufanye wewe hapo jikoni/stoo tumekubali jengo lina sq 9500 ili mlifanyie nn Moshi!? Mumpangishe nani!? Na kwa sh. Ngapi ili kurudisha 28bn!?
HahahahhhhaWewe endelea kuchangia kule cerebrities kwenye mada za zuchu na Ray van huku hujui kitu unatulia tu unakuwa msomaji!!!
Ujuaji sio issue tena siku hizi.
Kilaza .
Aisee we jamaa sijui unaongea vitu gani..Hizi ni public investments kama hazina faida ..ziwekwe kwenye uhujumu uchumi.. uchukue bilioni 28 kwa mji usiogenerate trips.. 50 percentage ya wasafiri wake ni wa kupita.. kwenda au kutoka Arusha..
Na hapo hapo inajenga mjengo mkubwa ili upangishe wakati kuna majengo mjini kati hayana wapangaji!?
STANDI YA BILIONI 28 MOSHI???? TAKUKURU WAMULIKE HUO MRADI LAZIMA UNA UFISADI MKUBWA SANAAAA! MIMI KAMA MWANA MOSHI SIKUBALIANI NA HILO.
WEKENI HUMU MICHORO NA DESIGN KAMA MLIVYOFANYA KWA DAR ILI TUJADILI VIZURI! DUUUU!
Njia yenye Mabasi mengi ni njia ya kati. Tanzania nzima. Ndio Msamvu Morogoro is a great investment.Aisee we jamaa sijui unaongea vitu gani..
Unasema wasafiri Moshi wanapita? Una uhakika? Bus linalotoka Ubungo likifika Moshi mjini almost 90pc wanashuka pale. Pia unajua mabasi mangapi kwa siku yanaenda Moshi/Arusha?? Sidhani kama kuna trip hapa Tanzania ina bus nyingi kama Dar - Moshi/Arusha..
Unasema pia hizo frame zitakosa wapangaji kwakuwa tu kuna frame mjini katikati hazina wapangaji, sasa kwa mantiki hiyo kwani frame zote Dar zina wapangaji kule mjini? Je, ile Stand ya Magufuli kule Mbezi frame hazijajaa?? Pale stand Moshi kuna frame iliyo wazi??
Kuhusu payback period, hiyo Investment imefanyika kukiwa na mahesabu na kujiridhisha hiyo billion 28 itarudi hata ikiwa kwa kipindi cha miaka 20.
Commitment to work contract 'mkataba na mteja wa kufanya na kumaliza kazi 'Anataka kugusa nyeti ya simba huyo!! Eti anaipa serikali wiki??
Commitment to work contract 'mkataba na mteja wa kufanya na kumaliza kazi 'Anataka kugusa nyeti ya simba huyo!! Eti anaipa serikali wiki??