UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Kila mtu anatoa sababu yake kwanini Moshi kuwe na hali hiyo mwengine anasema kwa sababu watu huko ni walevi sana kinga zao zimekuwa dhaifu mwengine anasema huko wanaingia sana wageni kutoka nje ndio huleta hayo maambukizi ila wengine husema ni utamaduni tu wao kwamba wakifiwa huenda kuzikia huko kwao.