Jinikashkash
JF-Expert Member
- Nov 27, 2020
- 455
- 871
Punguza ushamba.Hiki ndio kinachowapa tabu mabeberu kuona kwamba wanakosa wateja wa chanjo, watulie tuu kila mtu ashinde mechi zake.
Astro Zeneca wamewapa kandarasi viwanda vya India kuzalisha chanjo kutokana na mahitaji makubwa kuliko uzalishaji wao
We baki Chatto ukijifukuza vitunguu na Joseph Kasheku Musukuma 😫