Moshi: International School of UWCEA yasitisha masomo Baada ya Wanafunzi 2 kupatwa na Corona

Nimecheka kwa nguvu mpaka watu wameniuliza hapa pembeni nacheka nini. We dogo bana naona unadhani kila mtu ni mtoto mwenzako humu ndani.
WEWE SI UNAJIONA NI MKUBWA NA UNA MAMRAKA YA KUTANGAZA KUWA CORONA IPO SUBIRI SASA WAKATI WA KUPEWA DAWA UFIKE
 
WEWE SI UNAJIONA NI MKUBWA NA UNA MAMRAKA YA KUTANGAZA KUWA CORONA IPO SUBIRI SASA WAKATI WA KUPEWA DAWA UFIKE

Dogo huu muda unaendesha mikwara ya kitoto hapa, ni bora ungeupoteza kwenye kujifunza kuandika kwa usahihi, huku ukizingatia matumizi ya koma na nukta. Mamraka ni kitu gani labda we dogo?
 
Sasa hapo anayesimamisha shughuli ni mimi au ugonjwa? Taarifa imesema watoto wamekutwa na Corona unaniuliza kuhusu jirani yangu ili iweje,ugonjwa ukikomaa wala hutafungiwa ila utajifungia tu mwenyewe.
Endelea kujifaliji mkuu Mungu akitujalia tukifika mwezi 6 nitakukumbusha naweka akiba ya maneno
Bongo hakuna corona, ugonjwa upo kwenye mawazo yako
 
Hiki ndio kinachowapa tabu mabeberu kuona kwamba wanakosa wateja wa chanjo, watulie tuu kila mtu ashinde mechi zake.
Unajifariji kitoto sana,hakuna namna utamkwepa mzungu,hata hio simu unayotumia hapo hata kava la nje hatuwezi kutengeneza,ndui imesumbua dunia,polio imesumbua dunia lakini ni hao unaowaita mabeberu wamekuletea chanjo na hata leo begani unaalama.

Lazima tukubali kwenda taratibu tutafika lakini kwasasa Africa bado sana,

Ni vituko sungura kumvimbia tembo.

Dawa za ukimwi tupeni lakini chanjo ya CORONA tutapiga nyungu!!!!!
 
Masomo yanaendelea....Mkuu wa shule yaMoshi International School of uwcea amekanusha Taarifa za kuwepo na maambukizi ya covid shuleni hapo!
Watoto wanasoma kama kawaida, hawajavaa barakoa....!
Chanzo: TBC 1
Mods Active pandisha hii coment juu kabisa (mwanzoni)
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom