uru classic
Senior Member
- Aug 25, 2013
- 120
- 15
idadi ya watu imekua kubwa masokoni mfano wa kariakoo.jam za magar barabarani ndo majanga kwel hi ndio december
kweli Wachaga washamba sana yaani kila december lazima waende moshi. Nasikia na wenyewe siku hizi wanaua kama wakinga!
picha tafadhali
kweli Wachaga washamba sana yaani kila december lazima waende moshi. Nasikia na wenyewe siku hizi wanaua kama wakinga!
kweli Wachaga washamba sana yaani kila december lazima waende moshi. Nasikia na wenyewe siku hizi wanaua kama wakinga!
Nenda kwenu na wewe kwani umenyimwa mkuu?
Mshamba mwenyewe .Wewe kama huna pa kwenda na huna hela za kwenda kutumia si uwaache wenzako wakatumie.Wewe kwenda kwenu mpaka ulazimishwe.Waache wanaopenda kwao waende
kweli Wachaga washamba sana yaani kila december lazima waende moshi. Nasikia na wenyewe siku hizi wanaua kama wakinga!
wewe siyo mzima kabisa na uko miongoni ya watu mliotelekeza wazazi wenu kijijini wakitahabika na kusaga meno uku nyie mkila bata mjini
wewe siyo mzima kabisa na uko miongoni ya watu mliotelekeza wazazi wenu kijijini wakitahabika na kusaga meno uku nyie mkila bata mjini
kweli Wachaga washamba sana yaani kila december lazima waende moshi. Nasikia na wenyewe siku hizi wanaua kama wakinga!
Wapi kwao? barabara ipo? Nyumba ya kufikia ipo?
kweli Wachaga washamba sana yaani kila december lazima waende moshi. Nasikia na wenyewe siku hizi wanaua kama wakinga!