MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,686
- 31,470
Hivi huko Moshi kuna nini, mbona hatuoni picha?
Hilo linadhihirisha watu hawa hawapendi ukabila ni watu wa kitaifa zaidi.Nimecheka sana. Watu wa mikoani mna mbwembwe,
Eti; "Moro city,Iringa city, Arusha city na mwisho Moshi city!"
Anyway ni swali zuri linalopaswa kujiuliza wenyeji wa Kilimanjaro. Wangeweza kuwekeza Kama wanavyowekeza sehemu nyingine nadhani Kilimanjaro ingeipita hata Mwanza.
Mnashangazaaaaa.... makabila 150+ mikoa zaidi ya 25, ila Wachagga na Moshi/Kilimanjaro zinafunguliwa nyuzi nyingiii especially when it is December. Pambaneni na mikoa yenu na makabila yenu jamaniWenyeji wa Kilimanjaro kufurika na kujaza mji ambao kwa kawaida ni karibia ghost town kwa mwaka mzima, hilo ni jambo la kujivunia au la kusikitisha?
Kwanini mji wa Moshi umeshindwa kutoa opportunity kwa wakazi wake na kuwafanya kuhama kwenda kutafuta riziki kwingine? Mfano Arusha City iko busy mwaka mzima, Moro City, Dar City au hata Iringa City ni mwaka mzima foleni za magari na sio mwisho wa mwaka tu, sasa kwa nini Moshi City imeshindwa halafu watu (baadhi) wanafurahia jambo hilo tena wanajivunia kabisa.
Wachagga ndio kabila pekee Tanzania wenye asili ya Waisraeli wa kale ile original, wao wanachuna mbali mwisho wa siku wanarudisha faida na kupeleka maendeleo kwao...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnashangazaaaaa.... makabila 150+ mikoa zaidi ya 25, ila Wachagga na Moshi/Kilimanjaro zinafunguliwa nyuzi nyingiii especially when it is December. Pambaneni na mikoa yenu na makabila yenu jamani
Wenyeji wa Kilimanjaro kufurika na kujaza mji ambao kwa kawaida ni karibia ghost town kwa mwaka mzima, hilo ni jambo la kujivunia au la kusikitisha?
Kwanini mji wa Moshi umeshindwa kutoa opportunity kwa wakazi wake na kuwafanya kuhama kwenda kutafuta riziki kwingine? Mfano Arusha City iko busy mwaka mzima, Moro City, Dar City au hata Iringa City ni mwaka mzima foleni za magari na sio mwisho wa mwaka tu, sasa kwa nini Moshi City imeshindwa halafu watu (baadhi) wanafurahia jambo hilo tena wanajivunia kabisa.
Kwa hiyo na wewe ukaona uanzishe wa kwako?Mbona huwaulizi wanaojaza serva kutuambia kwamba wamefurika Uchagani? Ulishasikia mtu akiongelea kufurika Mbeya, Mtwara au Bukoba? Lkn kutwa tunatambiwa hapa kwamba Moshi imejaa sasa ungeanza na hao kwanza.
Jibu muruaUnajua hata Dar hapawatoshi watu wa K'Njaro ndio maana wamejaa sio miji ya Tz pekee bali Nairobi, Mombasa, Kampala na nje ya Africa. Hawa ni watu wa masafa. Mbona wazungu wamejaa Africa Kusini?
Kwan kilimanjaro hawajawekeza? Wamewekeza Hadi kukajaa ndipo wakaenda sehemu zingineNimecheka sana. Watu wa mikoani mna mbwembwe,
Eti; "Moro city,Iringa city, Arusha city na mwisho Moshi city!"
Anyway ni swali zuri linalopaswa kujiuliza wenyeji wa Kilimanjaro. Wangeweza kuwekeza Kama wanavyowekeza sehemu nyingine nadhani Kilimanjaro ingeipita hata Mwanza.
Jibu Bora la mwakaHuko ulikotaja kuko bize kwa ajili ya hao wenyeji wa Kilimanjaro.
Mbona kwa mujibu wa takwimu za serikali kilimanjaro ni mkoa wa pili wananchi wake kuwa na pato kubwa na maisha bora?Lkn haiendani na uhalisia, kwani Moshi City economic activities ni ndogo sana na mzunguko wa fedha ni mdogo sana, sasa hiyo faida unayoingelea kurudishwa iko wapi? Ingeionekena, kwanza Mji wa Moshi unakimbiwa kwa kukosa opportunities.
Nyie huwa hampendi kwenu? Ukiona mtu anaogopa kurudi kwake ujue Ni kubayaMbona huwaulizi wanaojaza serva kutuambia kwamba wamefurika Uchagani? Ulishasikia mtu akiongelea kufurika Mbeya, Mtwara au Bukoba? Lkn kutwa tunatambiwa hapa kwamba Moshi imejaa sasa ungeanza na hao kwanza.
City centre je?Mimi sifwati hizo sheria zenu, kwangu kila Mji ni City.
Nimecheka sana. Watu wa mikoani mna mbwembwe,
Eti; "Moro city,Iringa city, Arusha city na mwisho Moshi city!"
Anyway ni swali zuri linalopaswa kujiuliza wenyeji wa Kilimanjaro. Wangeweza kuwekeza Kama wanavyowekeza sehemu nyingine nadhani Kilimanjaro ingeipita hata Mwanza.
Wenyeji wa Kilimanjaro kufurika na kujaza mji ambao kwa kawaida ni karibia ghost town kwa mwaka mzima, hilo ni jambo la kujivunia au la kusikitisha?
Kwanini mji wa Moshi umeshindwa kutoa opportunity kwa wakazi wake na kuwafanya kuhama kwenda kutafuta riziki kwingine? Mfano Arusha City iko busy mwaka mzima, Moro City, Dar City au hata Iringa City ni mwaka mzima foleni za magari na sio mwisho wa mwaka tu, sasa kwa nini Moshi City imeshindwa halafu watu (baadhi) wanafurahia jambo hilo tena wanajivunia kabisa.