mikila miwili
JF-Expert Member
- Dec 14, 2021
- 563
- 555
Oooh! Ila hata huyo mke hatoweza kuniua kivyovyote, ananiujaje kwa mfano? Kwa sumu au? Kwa uchawi? Kwa kunitumia majambazi? In short hata akifanya hivyo hawezi kuniua, zaidi nitamuua kwa siri na kuutelekeza mzoga wake mbali huko!Dad's Yao atakuua ukitajirika mkuu.yaanu uwe kweli na hela afu mke mchaga kwao wawe masikini utajua Kama haujui .uchagani wanategemea mpaka MTT wa kike kuwatoa kimaisha.
Binti wakati anaondoka wosia anaopewa kuwa angalia mwanetu ulivyotuacha Hali yetu.usiende kulala mmeo sio ndugu yako. Muda wowote ule kila mtu anarudi kwao.
Tofauti mkuu na jamii Kama ya kikurya ama kimasai binti akiolewa ameolewa mazima huyo ni ukoo wa mwanaume Hana Tena Cha kwake kwao.
Yaani hata mkikosana naye harudi kwao anatafuta ndugu zako ndo anaenda kwao,ama kwa wazazi wako wewe mwanaume.yaani hizi jamii huwa zinajua Mana halisi ya neno la English send OFF.
Yaani mie nikizunguana na mke wangu ataenda kunisemea Kama Nina makosa kwa wazazi wangu,Kaka,dada, shangazi Mana Sasa huyu ke kwao ni huku kule kwao ameshaolewa Hana chake.mifupa yake itaoza pamoja na mababu walipozikwa nayeye amekuwa sehemu ya ukoo wetu.
Na ukiwa unaoa hakuangalii Kama una Mali ama haunaa ishu kubwa kuishi kwa amani.
Sasa nenda kaoe uchagani wewe kinda wa hiace ama unachoma mahindi.kwanza hakuna binti wa kichaga atakayekukubali Kama hauna hela.
Yaani bana uchagani kamaa una hela mpaka mamkwe atakuwekea ya kuoga maji.
Huo no uzoefu wangu
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app