Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Basi la kampuni ya DZD Royal Classic linalofanya safari zake kati ya Moshi kwenda Mwanza limeligonga la Kampuni ya Kimotco ambalo linafanya safari zake kati ya Moshi kwenda Iringa leo asubuhi Oktoba 31, 2018.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wanasema walikuwa waking'ang'ania kugombea kutoka katika kituo cha mabasi hapo.
Hakuna madhara yaliyojitokea kwa abiria wote walikuwa ndani ya basi zaidi ya uharibifu wa hayo magari.
...Je unashauri nini kuhusu kadhia hii na hasa ukizingatia rai mbalimbali zinatolewa kwa madereva kuwa waangalifu muda wote wakiwa barabarani kuona kama wanaweza kuepusha maafa zaidi ambayo yangeweza kuepukika.
Kumbuka hali hiyo hutokea kwa muda fulani hata kwenye kupima uzito (kwenye mizani) kugombea kutaka kuwa wa mwanzo. Nini kifanyeke. Mabasi na sehemu zote za vituo yawe yanatoka kwa namba ama?
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wanasema walikuwa waking'ang'ania kugombea kutoka katika kituo cha mabasi hapo.
Hakuna madhara yaliyojitokea kwa abiria wote walikuwa ndani ya basi zaidi ya uharibifu wa hayo magari.
...Je unashauri nini kuhusu kadhia hii na hasa ukizingatia rai mbalimbali zinatolewa kwa madereva kuwa waangalifu muda wote wakiwa barabarani kuona kama wanaweza kuepusha maafa zaidi ambayo yangeweza kuepukika.
Kumbuka hali hiyo hutokea kwa muda fulani hata kwenye kupima uzito (kwenye mizani) kugombea kutaka kuwa wa mwanzo. Nini kifanyeke. Mabasi na sehemu zote za vituo yawe yanatoka kwa namba ama?