Arusha & Kilimanjaro: Utajiri, Mapenzi na vifo vya kutisha. Kwanini matajiri hawadumu?

Dharra

JF-Expert Member
Jun 23, 2017
1,661
2,930
Huwaga najiuliza sana. Kwa nini matajiri wa Kaskazini na hasa Arusha na Kilimanjaro huwa hawadumu? Huyu mrema, Msuya, wakina Alfred Masawe na wengineo wengi, kwa nini huwa wanapata masanga ya kufa mtu? wanavuma kwa miaka michache kisha wanapotea wengine katika vifo vibaya sana, kuna nini hasa? ni juzi tu Mengi aliaga dunia na mengi yakaongelewa, ni nini hasa sababu?

Mzee wangu mmoja Msukuma wa Mwanza mwenye Maisha yake alikuja kwangu kunilalamikia sana baada ya kijana wake wa Kiume kupata mchumba wa kichaga akiwa masomoni chuoni Marekani, yaani alikuwa analia kabisa, Ni nini hasa? Kwa mtoto wa kiume kupata mchumba tena Msomi mwenzake ni jambo zuri sana? kwa nini mzee wangu alisikitika sana na kusaga meno? kuna nini hasa cha kuogofya? Najaribu ku connect dots ila sielewi kabisa. Kuna siri gani kwenye Triangle hii Kilimanjaro, Moshi na Arusha?
 

Attachments

  • MSUYA+PICHA[1].jpg
    MSUYA+PICHA[1].jpg
    16.5 KB · Views: 46
  • mengi.jpg
    mengi.jpg
    7.7 KB · Views: 45
  • pic+mrema[1].jpg
    pic+mrema[1].jpg
    13.3 KB · Views: 51
Wanatoaga kafara na kuwafanya ndugu zao vichaa.

Ripoti zinasema vichaa wengi ni wa uru huko Kilimanjaro
 
Unafikiri kwa nini ripoti zinasema hiv?

Watu wengi wa huko kasikazini ni washirikina wakubwa wanawafanya ndugu zao vichaa


Na wamama wanawaua waume zao
tapatalk_1561802494585.jpeg
 
mkuu bora mim hata sina la kusema, najaribu kuwaza kwa sauti kuu, sasa imefika mahala makabila mengine yenye uwezo wanasikitika sana watoto wao wanapopata wachumba wa kuwaoa kutoka maeneo hayo, najua conspiracy theories zipo kwa kila tokea, lakini kwa nini upande huu simanzi na stori za kuogofya zimekuwa nyingi sana? mpaka kufikia hali hii? Leteni majawabu hapa huenda ikawasaidia wengine kutoka makabila mengine kuondokana na hofu ilojengeka kwa miaka mingi sasa
 
Kwanza kabisa hakuna Moshi na Kilimanjaro, ukishasema Kilimanjaro tayari Moshi ipo ndani yake

Pili Mengi kafa na miaka 75, Mrema kafa na miaka 68, huyo msuya sijui kafa na miaka mingapi ila anaonyesha naye alikuwa ni zaidi ya 65, kuna Ndesamburo amekufa na miaka mingi tu na yeye, na bado wengine wengi tu wanadunda

Sasa umelinganisha na umri upi hadi kusema wanakufa haraka? Wastani wa kuishi kwa mtanzania ni umri gani?

Na je Kilimanjaro au Arusha zina matajiri wangapi hadi uhitimishe kwa kusema kuwa wanakufa vifo vya mapema kwa kuangalia hao watatu uliowataja? kama kuna matajiri labda 100, kisha ukataja watatu ambao walikufa na umri zaidi ya miaka 65 una hitimisha kuwa matajiri wa mikoa fulani wanakufa vifo vya haraka? Elimu yako ni kiasi gani ndugu?

Uzi wako unataka uvutie comments kuwa wanauana na comments kama hizo utazipata sababu ndivyo Watanzania walivyo, mawazo ya kimaskini kuwajadili maisha ya watu
 
Mengi kafa na miaka 75, Mrema kafa na miaka 68, huyo msuya sijui kafa na miaka mingapi ila anaonyesha naye alikuwa ni zaidi ya 65, kuna Ndesamburo amekufa na miaka sijui 80+ huko

Sasa umelinganisha na umri upi hadi kusema wanakufa haraka? Wastani wa kuishi kwa mtanzania ni umri gani?

Na je Kilimanjaro au Arusha zina matajiri wangapi hadi uhitimishe kwa kusema kuwa wanakufa vifo vya mapema kwa kuangalia hao watatu uliowataja?

Uzi wako unataka uvutie comments kuwa wanauana na comments kama hizo utazipata sababu ndivyo Watanzania walivyo, mawazo ya kimaskini kuwajadili maisha ya watu

Mkuu real G Tuongelee facts, kwa mfano Mzee Bakhresa ako na 70yrs sasa, muangalie Sabodo, muangalie mukesh Patel, Shekhar, muangalie Jumanne kishimba na wengineo kaka. Tuongee tu ukweli kaka, sijahitimisha hapa, najaribu tu kuamsha hisia za watu, ningeweza hata kuandika kuhusu ajali nyingi zinazotokea Morogoro road na uzi ungekamilika hapa ila nimeona niongelee hili la Bermuda triangle Arusha, Moshi, Kilimanjaro
 
mkuu bora mim hata sina la kusema, najaribu kuwaza kwa sauti kuu, sasa imefika mahala makabila mengine yenye uwezo wanasikitika sana watoto wao wanapopata wachumba wa kuwaoa kutoka maeneo hayo, najua conspiracy theories zipo kwa kila tokea, lakini kwa nini upande huu simanzi na stori za kuogofya zimekuwa nyingi sana? mpaka kufikia hali hii? Leteni majawabu hapa huenda ikawasaidia wengine kutoka makabila mengine kuondokana na hofu ilojengeka kwa miaka mingi sasa
Mimi binafsi nimejifunza kwa kuona kuhusu ndugu zangu walio oa kilimanjaro, mwisho wao umekuwa mbaya sana mpk wanatengwa na ukoo.

Kwa kifup siwez kuo hiyo zone bora nibaki bachela milele.
 
As if hakuna sehem nyingine ya nchi haina vichaa? Siamin katika uchawi.. naamini katika fact ambazo zipo na zinaonekana. Kuna factors nyingi ila sidhan kama uchaw ni sababu. Thats sounds weak
Unafikiri kwa nini ripoti zinasema hiv?

Watu wengi wa huko kasikazini ni washirikina wakubwa wanawafanya ndugu zao vichaa


Na wamama wanawaua waume zaoView attachment 1141840
 
Sio mchaga ila ndugu
Mimi binafsi nimejifunza kwa kuona kuhusu ndugu zangu walio oa kilimanjaro, mwisho wao umekuwa mbaya sana mpk wanatengwa na ukoo.

Kwa kifup siwez kuo hiyo zone bora nibaki bachela milele.
Sio mchaga ila napingana na hiyo dhana kabisa. Mbona ndugu zangu wameoa huko. Karibia wote upande wa baba wameoa huko na hakuna mwenye mwisho mbaya. Miaka nenda rudi wako vizuri..

Ndoa ni jinsi unaishi na mwenzi wako. Kabila lake halitafanya ndoa yako idumu. hata siku moja..
Tabia zenu ndio zitavunja ndoa. Au zitaifanya idumu
 
Sio mchaga ila nduguSio mchaga ila napingana na hiyo dhana kabisa. Mbona ndugu zangu wameoa huko. Karibia wote upande wa baba wameoa huko na hakuna mwenye mwisho mbaya. Miaka nenda rudi wako vizuri..

Ndoa ni jinsi unaishi na mwenzi wako. Kabila lake halitafanya ndoa yako idumu. hata siku moja..
Tabia zenu ndio zitavunja ndoa. Au zitaifanya idumu
Karibu, kila la heri mkuu.
 
As if hakuna sehem nyingine ya nchi haina vichaa? Siamin katika uchawi.. naamini katika fact ambazo zipo na zinaonekana. Kuna factors nyingi ila sidhan kama uchaw ni sababu. Thats sounds weak
Vip mbona kuna tuhuma nyingi kuhusu watu wa kasikazini.

Lisemwalo lipo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom