chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,959
- 20,531
Moses Machali anafanya Siasa au uongozi wa kitoto kitoto. Viongozi hukaa na kusikilizana na kushauriana. Huyu anaenda kwa viongozi anaanza kuwatukana na kuwadharau, hajui humo ndani ndio Kuna kura za wananchi, wakiamua kukichafua, hiyo kagera ataiona ya moto
Huyu ni mabaki ya wale waliokuwa wananunuliwa na awamu Ile. Wamezoea kufanya ubabe kwa wafanyabiashara ili wapate chochote. Ni aina ya Sabaya, anatisha wafanyabiashara ili wampe chochote
Sioni mantiki ya kufunga maduka Bukoba nzima kisa madai ambayo kwa maelekezo ya Rais, anataka wafanyabiashara na Serikali wajadiliane.
Mkuu wa Wilaya kafikia hatua ya kumtukana Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya kwamba yeye si chochote serikalini na hawezi kumfanya lolote. Yaani unamtukana kiongozi mbele ya anaowaongoza? Kwanini usitumie vikao rasmi? Tunajua ulikuwa na mtu umepanga awe Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya, ndio anakutumia kumchafua huyu.
Anawatukana madiwani kwamba Wana cheap politics. Anaongea kwa dharau kubwa sana.
Haya ndio matunda ya kuokota majitu huko Chadema na kuyapa uongozi. Yamezoea kutukanana mitandaoni na uhuni uhuni tu. Hayana maadili ya uongozi.
Nashauri CCM Kagera iingie katika vita vya msituni dhidi ya Machali.
Machali, Machali, Machali, nimekuita mara tatu.... ngoja mkeka utoke
Huyu ni mabaki ya wale waliokuwa wananunuliwa na awamu Ile. Wamezoea kufanya ubabe kwa wafanyabiashara ili wapate chochote. Ni aina ya Sabaya, anatisha wafanyabiashara ili wampe chochote
Sioni mantiki ya kufunga maduka Bukoba nzima kisa madai ambayo kwa maelekezo ya Rais, anataka wafanyabiashara na Serikali wajadiliane.
Mkuu wa Wilaya kafikia hatua ya kumtukana Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya kwamba yeye si chochote serikalini na hawezi kumfanya lolote. Yaani unamtukana kiongozi mbele ya anaowaongoza? Kwanini usitumie vikao rasmi? Tunajua ulikuwa na mtu umepanga awe Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya, ndio anakutumia kumchafua huyu.
Anawatukana madiwani kwamba Wana cheap politics. Anaongea kwa dharau kubwa sana.
Haya ndio matunda ya kuokota majitu huko Chadema na kuyapa uongozi. Yamezoea kutukanana mitandaoni na uhuni uhuni tu. Hayana maadili ya uongozi.
Nashauri CCM Kagera iingie katika vita vya msituni dhidi ya Machali.
Machali, Machali, Machali, nimekuita mara tatu.... ngoja mkeka utoke