Moses Lijenje aliyetajwa kutupwa na Polisi kesi ya ugaidi ya Mbowe na wenzake ni nani?

Habarini Wakuu,

Katika Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe Mahakama ya Kisutu. Katika watuhumiwa waliokamatwa moshi Tunaambiwa Moses lichenje naye ni mtuhumiwa lakini mpaka sasa hajulikani alipo kama nimepitwa toka kesi imeanza tufahamishane wakuu
 
kwani alikamata au hakukamatwa katika ushaidi uliotolewa kuna mahali panasema alikamatwa au hakukamatwa bado anatafutwa?
 
Back
Top Bottom