Mose Iyobo kwa hiki alichokifanya amemdhalilisha sana Aunt Ezekiel; binafsi nimesikitika sana

mtu chake bhana....acha akitumie na kukizungumzia vile apendavo.....si ajabu anty ndo kamwambia aandike hvo
 
Kwa mfano Diamond na hizi skendo za kubebesha mimba wanawake ni wazi huwa hatumii kinga, pengine hawa wasanii huwa wana antivirus mwilini, huwezi ukauza mechi kwa mtu kama Wema or Mobeto kirahisi tu hata hujistukii
MZee umalaya ukiwa kwenye damu hiyo kinga unaikumbuka wapi "? kwani dai na hao tofauti yao nini wote Malaya tu "" kwa taarifa yako msanii nimtu ambaye Mwenye kiu kubwa mnooo kitamaaa"" hakuna msanii msafi kama ambavyo Jamii inavyodhani "" hao ambao mnahisi kuwa ni wasafi nikwasbabu wanajitahidi kuyaficha mmbi yao ya aibu ili ysifike katika Jamii....."" prof..jay alishswahi kwenda na mwanamke mchepuko home kwake huku akiwa yupo tungi mbaya "" akamfanyia main chick wake fujo kinoma wakti huo alikuwa bado hajamuoa....hao ndio wasanii walivyo mkuu
 
Juzi Anti Ezekiel amesema kuwa yeye alishakubaliana na Iyobo kuwa wapeane uhuru Kila Mtu asimfuatilie nwenzake ,
Kasema Kwa kuwa kazi zao wote ni za kusanii Kwa hiyo Kila Mtu afanye atakalo bila kufuatiliana!
Na akasema dansa alishakubali juu ya hilo!
Werevu tuka ng'amua kusema alaa kumbee?!
 
Celebret wengi wenye vibeni ten wanajiuza sana Dubai. Pia hata humu humu bongo wana ma predeshee yanayowakamua, kuna vi hotel bubu kule mikocheni wanakamuliwa sana kule. Mwanaume daima jitahidi uwe na pesa. pesa ndo nguvu za kiume
 
Back
Top Bottom