Rais Morsi wa Misri anataka ku monopolise power na kuwa kama kikwete wa Tanzania kwa kuondoa uwezekano wa kuwepo kwa check and balance ktk nchi hiyo kwa ufupi anataka kuwa dictator ili aweze kulifanya bunge kuwa ni muhuri wake wa kupitisha vitu anavyovitaka bila kuwepo mamlaka inayoweza kuoji au kuzuia maamuzi yake, anataka kuwa na mkono wake kwenye mahakama kwa kuweza kuweka watu anaowataka yeye bila kuojiwa au kuzuiwa na mamlaka yeyote yaani kwa ufupi ni mfumo wa kidikteta kama tuliokuwa nao hapa Tanzania. ni mfumo mbaya sana wapenda demokrasia nchi nzima inabidi tuwaunge mkono wana demokrasia wengine kuwaombea kuondokana na mfumo huu mbaya sana ambao umeingiza nchi kwenye umaskini mbaya sana kwani badala ya utawala wa nchi kuwatumikia na kuwajibika kwa wananchi unaishia kuwajibika na kumtumikia dictator aliye juu yao.