Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
MOROGORO :- Waziri Aweso awasimamisha kazi watumishi sita
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewasimamisha kazi watumishi sita akiwemo Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA), Tamimu Katakwemba pamoja na Afisa Maji Bonde la Wami-Ruvu, Simon Ngonyani kwa tuhuma mbalimbali za matumizi mabaya ya ofis
Akizungumza na watumishi wa MORUWASA na ofisi ya maji bonde la Wami Ruvu mjini Morogoro, Waziri Aweso amesema Katakwemba amesimamishwa kazi kwa kosa la kusaini mkataba wa Euro milioni 70 kwa ajili ya upanuzi wa Bwawa la Maji la Miundu bila ridhaa ya wizara ya maj
Kwa upande wa afisa wa maji bonde la Wami Ruvu, Aweso amesema amemsimamisha afisa huyo kwa kushindwa kuwajibika kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali pamoja na kushindwa kuwasimamia watumishi wak
Wakati huo huo amewasimamisha kazi watumishi wanne wa MORUWASA kwa kukiuka maadili ya utumishi wa umma
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewasimamisha kazi watumishi sita akiwemo Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA), Tamimu Katakwemba pamoja na Afisa Maji Bonde la Wami-Ruvu, Simon Ngonyani kwa tuhuma mbalimbali za matumizi mabaya ya ofis
Akizungumza na watumishi wa MORUWASA na ofisi ya maji bonde la Wami Ruvu mjini Morogoro, Waziri Aweso amesema Katakwemba amesimamishwa kazi kwa kosa la kusaini mkataba wa Euro milioni 70 kwa ajili ya upanuzi wa Bwawa la Maji la Miundu bila ridhaa ya wizara ya maj
Kwa upande wa afisa wa maji bonde la Wami Ruvu, Aweso amesema amemsimamisha afisa huyo kwa kushindwa kuwajibika kusimamia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali pamoja na kushindwa kuwasimamia watumishi wak
Wakati huo huo amewasimamisha kazi watumishi wanne wa MORUWASA kwa kukiuka maadili ya utumishi wa umma