Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,497
Shilika wa Uzalishaji na Ugavi wa Umeme nchini(TANESCO) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro wamefanikiwa kukamata Vishoka wawili.
Kishoka wa kwanza anaitwa Nehemiah Mbedule ambae ni Mwajiriwa wa Shirika hilo akiwa vifaa vya Shirika kama Nguzo moja ya LT pamoja na nyaya za aluminium 50 mm2 zenye urefu wa mita 100.
Kishoka wa pili Kelvin Gervas Ntobangi akitapeli
Kishoka wa kwanza anaitwa Nehemiah Mbedule ambae ni Mwajiriwa wa Shirika hilo akiwa vifaa vya Shirika kama Nguzo moja ya LT pamoja na nyaya za aluminium 50 mm2 zenye urefu wa mita 100.
Kishoka wa pili Kelvin Gervas Ntobangi akitapeli