Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
Mara zote serikali na jeshi wamekuwa wakionywa juu ya harakati za kivita kuendelea misikitini lakini hawaonyeshi kujali...na bado tutasikia mengi kwenye haya. Kama serikali inakuwa loose kwenye usalama wa raia kiasi hiki na kuruhusu mafunzo ya usiku kwenye nyumba za ibada, inaweza ikawa imeshachelewa sana