QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Ndugu zangu,
tayari Serikali mpya ya CCM imeanza kutekeleza mikakati ya maisha bora kwa kila mtanzania. Leo katika taarifa ya habari saa 2 usiku kupitia ITV, imeripotiwa kuwa Hospitali ya mkoa wa Morogoro haina maji na hivyo wagonjwa wanatoka na drip mkononi kwenda kutafuta maji nje ya hospitali. Naye mbunge wa morogoro Aboud, amethibitisha hilo.
Wenzetu mlio Morogoro, jaribu kutuwekea picha ya baadhi ya wagonjwa waliokuwa wakitafuta maji na mtuwekee hapa kuonesha reality.
Maswali ya kujiuliza:
1. je kweli serikali inawajali wananchi katika hali hiyo?
2. je ni kweli kuwa hospitali haina hela za kuhakikisha maji yapo?
3. Hayo ni sehemu ya maisha bora?
4. Au kikwete hajatengeneza indicators za maisha bora ndo maana maswali yanakuwa mengi kwake?
Nawasilisha
tayari Serikali mpya ya CCM imeanza kutekeleza mikakati ya maisha bora kwa kila mtanzania. Leo katika taarifa ya habari saa 2 usiku kupitia ITV, imeripotiwa kuwa Hospitali ya mkoa wa Morogoro haina maji na hivyo wagonjwa wanatoka na drip mkononi kwenda kutafuta maji nje ya hospitali. Naye mbunge wa morogoro Aboud, amethibitisha hilo.
Wenzetu mlio Morogoro, jaribu kutuwekea picha ya baadhi ya wagonjwa waliokuwa wakitafuta maji na mtuwekee hapa kuonesha reality.
Maswali ya kujiuliza:
1. je kweli serikali inawajali wananchi katika hali hiyo?
2. je ni kweli kuwa hospitali haina hela za kuhakikisha maji yapo?
3. Hayo ni sehemu ya maisha bora?
4. Au kikwete hajatengeneza indicators za maisha bora ndo maana maswali yanakuwa mengi kwake?
Nawasilisha