manking
JF-Expert Member
- Feb 8, 2014
- 1,307
- 314
Nashukuru mkuu ngoja nizitafuteJaribu kupiga omo mix na duduba
Nashukuru mkuu ngoja nizitafuteJaribu kupiga omo mix na duduba
Mfumo wetu wa response to disasters ni duni sana,ila nahisi hata wataalam wetu wa kilimo nao utaalam wao ni mdogo pia.Zipo scientific approaches za kuweza kujua kwamba Maize Stalk Borers watakuwepo au hawatakuwepo mapema.Now, why monitoring and also scouting was not done early in the season is difficult to tell. Hii ingewawezesha wakulima na wataalam kujua kama wadudu hao watakuwepo au hawatakuwepo mapema ili waweze kujiandaa kwa madawa na mikakati.View attachment 780674
Zaidi ya hekta Elfu ishirini sawa na ekari elfu hamsini za mashamba ya mahindi ya wakulima wadogo katika vijiji vya wilaya ya Mvomero zimeteketezwa kwa kuliwa na wadudu waharibifu wa mimea aina ya Viwavi Jeshi vamizi Fall Armyworm.
Baadhi ya wakulima ambao mashamba yao yamevamiwa na Viwavi Jeshi vamizi wanasema wamepata hasara kubwa katika msimu huu wa kilimo hali iliyowakatisha tamaa ya kuendelea na shughuli ya kilimo .
Afisa Kilimo Umwagiliaji na Ushirika wilaya ya Mvomero Daina Mnywanga anasema tatizo ni kubwa.
Baada ya kutembelea eneo lililoathirika na kutoa elimu kwa waafisa ugani wakulima pamoja na wakala wa pembejeo za kilimo mtafiti wa wadudu waharibifu na viutilifu kutoka TPRI anasema hadi sasa zaidi ya mikoa kumi na sita imesha athirika na wadudu hao na kwamba tpri imeshapata viuatilifu vyenye uwezo wa kuua wadudu hao na wanaendelea kutoka elimu.
Chanzo: Nipashe