Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,145
- 3,355
Utazoea tu usijali. Kelele za lawama kwa hiki kipind cha mwanzo ni kawaida. Muda wote stendi inajengwa unaona umekaa kimya tu sahivi unalalamika ulitegemea stend ikikamilika wataifanya soko
Ulitangaza kuwa unajenga stand huko porini?Utazoea tu usijali. Kelele za lawama kwa hiki kipind cha mwanzo ni kawaida. Muda wote stendi inajengwa unaona umekaa kimya tu sahivi unalalamika ulitegemea stend ikikamilika wataifanya soko
Huyo anaongelea stendi ya daladala wewe unakuja na stendi ya mabasi ya ruti ndefu. Mavi ya bata......Kuhamisha stand haiepukiki, ni moja ya matokeo ya maendeleo na ukuaji wa miji.
Ya Dar es Salaam ilikua Kisutu, ikahamia ubungo zilikua km9 toka mjini. Sasa imetoka ubungo imepelekwa Mbezi Luis km26 toka mjini na bado watu wanadunda tu.
Usiogope mabadiliko.
Hili nilishalisemea pia moja ya maamuz ya hovyo kabisa ni kujenga stend moja ili kuaccomodate mji mzima , ukiangalia na ukuaji wa miji ulivyo Kasi , ndani ya miaka 15 Tu stend inakuwa imezidiwa na inakuwa outclassed..... Dsm inatakiwa iwe na stend tatu , bagamoyo Road iwe na stend yake nzuri Tu ya kisasa , Kilwa Road pia iwe na stendi na yenyewe , bila kusahahu morogoro road pia kuwe na stend ya kisasa ....... Na pia kuwe na stend za daladala kama Ile ya mbezi na mawasiliano kila baada ya km 5 au nane achilia mbali vituo vidogo vidogo vya kushusha abiria Kwa barabara zinazoingia mjini ...... Mwanza Wana stendi kuu mbili Kwa barabara kuu zinazoingia na kutoka mjin , kulikuwa na maamuz ya hovyo pia ya kuzipeleka pori nashukru Kwa watu waliopambana mpak zikabaki maeneo ya mjini ila wakaziboresha na kutengeneza stendi ndogo ndogo along the road Kwa ajili ya kushusha na kupakia abiria ,....Sio tu Morogoro hata Dar-es-Salaam vituo vya mabasi yakwenda Mikoani na nchi jiani.
Kujenga kituo kikuu cha mabasi kwenda mikoani Mbezi,wasiondoe vituo vingine katika maeneo mengine. Kwa mtu anaenda Lindi au Mtwara wajengewe maeneo ya kuelekea Kilwa Road.
Sana sana ikibidi kupitia Morogoro road kuelekea mikoani ndipo basi ipitie tu kama kituo kikuu tu.
Sisi wasafiri msitugeuze watumwa ,au mradi.Nimegundua vituo vingi vikubwa vilivyojengwa na serikali licha ya kuwa na maeneo makubwa na majengo yanayovutia lakini hawatilii maanani huduma kama Vyoo.
Vyoo mara nyingi having usafi wa kuridhisha,ni kero. Kama tungekuwa wakali kwa hilo karibu vituo vingi vingefungiwa.
Kwa ufahamu wangu hiki unachoshauri ndicho kitakachofanyikaUpo sahihi, lakini kinacholalamikiwa ni utaratibu wa kuwafikisha abiria katikati ya mji ambako ndiko mahitaji muhimu yalipo, kwa mfano mtu anayetoka Msamvu kwenda Polisi, Hospital, anashushiwa Masika na ili apate bus la kwenda Msamvu ni lazima aende huko porini umbali sawa na Msamvu.
Nashauri magari yaruhusiwe kushusha na kupakia abiria katikati ya mji bila kufanya maegesho ya zaidi ya dakika kwakuwa wapo wenye matatizo mbalimbali yakiwemo ya kiafya na hawana uwezo wa kukodi pikipiki na bajaji kwenda mpaka huko porini ili wakapande mabasi ya kwenda Msamvu, Kihonda na Tungi.
Hili nilishalisemea pia moja ya maamuz ya hovyo kabisa ni kujenga stend moja ili kuaccomodate mji mzima , ukiangalia na ukuaji wa miji ulivyo Kasi , ndani ya miaka 15 Tu stend inakuwa imezidiwa na inakuwa outclassed..... Dsm inatakiwa iwe na stend tatu , bagamoyo Road iwe na stend yake nzuri Tu ya kisasa , Kilwa Road pia iwe na stendi na yenyewe , bila kusahahu morogoro road pia kuwe na stend ya kisasa ....... Na pia kuwe na stend za daladala kama Ile ya mbezi na mawasiliano kila baada ya km 5 au nane achilia mbali vituo vidogo vidogo vya kushusha abiria Kwa barabara zinazoingia mjini ...... Mwanza Wana stendi kuu mbili Kwa barabara kuu zinazoingia na kutoka mjin , kulikuwa na maamuz ya hovyo pia ya kuzipeleka pori nashukru Kwa watu waliopambana mpak zikabaki maeneo ya mjini ila wakaziboresha na kutengeneza stendi ndogo ndogo along the road Kwa ajili ya kushusha na kupakia abiria ,....
Unapohamisha hamisha stend kupeleka pori unavuruga uchumi wa watu waliowekeza pale stend , na kuleta adha kubwa Kwa wasafiri na kuongeza gharama , hali ikija kukaa pouw tena unakuta stend ulikohamishia nako kumebanana unavuruga tena uchumi kule, na kupeleka porin yaan unakuwa mtu wa kutengeneza na kuvuruga ....ifikie hatua tuelewe stend ni mahali pa kushusha na kupakia abiria huwez kusema et magar yote yatatosheka na stend moja kubwa hamna kitu
Mkuu naunga mkono.Hili nilishalisemea pia moja ya maamuz ya hovyo kabisa ni kujenga stend moja ili kuaccomodate mji mzima , ukiangalia na ukuaji wa miji ulivyo Kasi , ndani ya miaka 15 Tu stend inakuwa imezidiwa na inakuwa outclassed..... Dsm inatakiwa iwe na stend tatu , bagamoyo Road iwe na stend yake nzuri Tu ya kisasa , Kilwa Road pia iwe na stendi na yenyewe , bila kusahahu morogoro road pia kuwe na stend ya kisasa ....... Na pia kuwe na stend za daladala kama Ile ya mbezi na mawasiliano kila baada ya km 5 au nane achilia mbali vituo vidogo vidogo vya kushusha abiria Kwa barabara zinazoingia mjini ...... Mwanza Wana stendi kuu mbili Kwa barabara kuu zinazoingia na kutoka mjin , kulikuwa na maamuz ya hovyo pia ya kuzipeleka pori nashukru Kwa watu waliopambana mpak zikabaki maeneo ya mjini ila wakaziboresha na kutengeneza stendi ndogo ndogo along the road Kwa ajili ya kushusha na kupakia abiria ,....
Unapohamisha hamisha stend kupeleka pori unavuruga uchumi wa watu waliowekeza pale stend , na kuleta adha kubwa Kwa wasafiri na kuongeza gharama , hali ikija kukaa pouw tena unakuta stend ulikohamishia nako kumebanana unavuruga tena uchumi kule, na kupeleka porin yaan unakuwa mtu wa kutengeneza na kuvuruga ....ifikie hatua tuelewe stend ni mahali pa kushusha na kupakia abiria huwez kusema et magar yote yatatosheka na stend moja kubwa hamna kitu
Ulitakeje tubomoe nyumba za msajili?Ndugu wanajamvi,
Nimefika mjini Morogoro kwenye hekaheka zangu nikashangazwa na kitendo cha kuhamishia stand ya daladala kutoka katikati ya mji na kuipeleka karibu na Chuo Kikuu cha Sokoine umbali wa kama Km 2+.
Ni jambo jema kuboresha huduma kwa jamii kutokana na kukua kwa mji, lakini viongozi wa jambo husika hawakaushirikisha mawazo ya wananchi katika kufikia maamuzi ya jambo walilofanya.
Daladala zinazoingia na abiria waendao kufuata mahitaji katikati ya mji wanashushwa mbali na mji na kulazimika kukodi bajaji na pikipiki ili wafike katikati ya mji kitendo ambacho kinawaongezea gharama wananchi ambao wengi wao ni wa kipato cha chini.
Bajaji ambazo ndiyo msaada wa haraka nazo zimeondolewa katikati ya mji na kulazimu wananchi kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta usafiri wa kuunganisha ili waende waendako, mathalani mtu atokaye Msamvu kwenda Bigwa analazimika kuchukua pikipiki kwenda mpaka mjini kati ndipo apate daladala ya kwenda Bigwa.
Changamoto ni nyingi sana, nashauri mamlaka husika zishirikishe mawazo ya wananchi ili kuondoa usumbufu unaoendelea kujitokeza mapaka sasa na kuathiri kwa kiasi kikubwa majukumu ya watu na kuwaongezea gharama za maisha wananchi wa kipato cha chini.
Ikumbukwe kuwa maamuzi yalifanywa na viongozi bila kushirikisha wananchi, lakini viongozi hao hawakuvaa viatu vya wananchi husika ili nao wapate feelings ambazo wananchi wanazipata kwa sasa kwakuwa viongozi husika hawatumii daladala, laiti wangekuwa wanatumia daladala wangeona adha hizo na huenda wasingechukua uamuzi waliochukua.
Nawasilisha
Issue ya usafi wa vyooni unaanzia kwetu watumiaji ....tambua sisi wabongo ustarabu ni zeroSio tu Morogoro hata Dar-es-Salaam vituo vya mabasi yakwenda Mikoani na nchi jiani.
Kujenga kituo kikuu cha mabasi kwenda mikoani Mbezi,wasiondoe vituo vingine katika maeneo mengine. Kwa mtu anaenda Lindi au Mtwara wajengewe maeneo ya kuelekea Kilwa Road.
Sana sana ikibidi kupitia Morogoro road kuelekea mikoani ndipo basi ipitie tu kama kituo kikuu tu.
Sisi wasafiri msitugeuze watumwa ,au mradi.Nimegundua vituo vingi vikubwa vilivyojengwa na serikali licha ya kuwa na maeneo makubwa na majengo yanayovutia lakini hawatilii maanani huduma kama Vyoo.
Vyoo mara nyingi having usafi wa kuridhisha,ni kero. Kama tungekuwa wakali kwa hilo karibu vituo vingi vingefungiwa.
Huo mji upo shaghalabagala hata system ya mitalo ni mibovu,Haitakuwa haki, fikiria wakizuia magari binafsi yasifike katikati ya mji yote yaegeshwe masika na fire, utajisikiaje kutembea kwa miguu mpaka ufike katikati ya mji
Mafiga njia ya Iringa karibu na kituo Cha mafuta Cha LAKE OIL,zamani TIOT, Sua ni mbali sana,wameijenga kwenye mashamba ya Sua.Imehamishiwa SUA?
Mtazoea tu mkuu ni swala la ku change mindset ,mbona haulalamiki kile kituo cha Treni ya reli ya kati kilipo,ni mbali na makazi ya walio wengi hapo Morogoro,mwanzoni inakuwa ni usumbufu ila baadaye utakuja kukubaliana na hiyo mipango...
Angalia mfano wa vyo vya kulipia tena vya Halmashauri vinaangaliwa kwa makini.Issue ya usafi wa vyooni unaanzia kwetu watumiaji ....tambua sisi wabongo ustarabu ni zero
Ova
soon mtafika moro ... Halafu hata miaka 30 haijafika tangu waihamishie ubungo .. inavyoonekana kila kiongozi akikaa madarakani anatafuta chocho la kupiga helaNchi hii haijawahi kuwa na mipango , Tulipohamishwa kutoka Mnazi mmoja na Kisutu kupelekwa ubungo tukajua yameisha , sasa ni hivi ni Mbezi Luis , lakini nakuapia haitoisha miaka mingi tutapelekwa Kibaha .
Stendi kuwa katikati ya mji ni kero tu, ndo kukua kwa mji, km 2 ni karibu sana.Ndugu wanajamvi,
Nimefika mjini Morogoro kwenye hekaheka zangu nikashangazwa na kitendo cha kuhamishia stand ya daladala kutoka katikati ya mji na kuipeleka karibu na Chuo Kikuu cha Sokoine umbali wa kama Km 2+.
Ni jambo jema kuboresha huduma kwa jamii kutokana na kukua kwa mji, lakini viongozi wa jambo husika hawakaushirikisha mawazo ya wananchi katika kufikia maamuzi ya jambo walilofanya.
Daladala zinazoingia na abiria waendao kufuata mahitaji katikati ya mji wanashushwa mbali na mji na kulazimika kukodi bajaji na pikipiki ili wafike katikati ya mji kitendo ambacho kinawaongezea gharama wananchi ambao wengi wao ni wa kipato cha chini.
Bajaji ambazo ndiyo msaada wa haraka nazo zimeondolewa katikati ya mji na kulazimu wananchi kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta usafiri wa kuunganisha ili waende waendako, mathalani mtu atokaye Msamvu kwenda Bigwa analazimika kuchukua pikipiki kwenda mpaka mjini kati ndipo apate daladala ya kwenda Bigwa.
Changamoto ni nyingi sana, nashauri mamlaka husika zishirikishe mawazo ya wananchi ili kuondoa usumbufu unaoendelea kujitokeza mapaka sasa na kuathiri kwa kiasi kikubwa majukumu ya watu na kuwaongezea gharama za maisha wananchi wa kipato cha chini.
Ikumbukwe kuwa maamuzi yalifanywa na viongozi bila kushirikisha wananchi, lakini viongozi hao hawakuvaa viatu vya wananchi husika ili nao wapate feelings ambazo wananchi wanazipata kwa sasa kwakuwa viongozi husika hawatumii daladala, laiti wangekuwa wanatumia daladala wangeona adha hizo na huenda wasingechukua uamuzi waliochukua.
Nawasilisha