Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 1,581
- 3,794
Panaachwa kwasasa hakuna mpango, labda uje hivi karibuni.Kwahiyo hapo iliyokuwa stendi ya daladala wanajenga nn?
Panaachwa kwasasa hakuna mpango, labda uje hivi karibuni.Kwahiyo hapo iliyokuwa stendi ya daladala wanajenga nn?
ukweli ni kwamba ile stendi ya pale mjini Morogoro... ilikuwa ni kero kwa watumiaji wa barabara za Boma pamoja na hii ya madaraka, ile iendayo halmashauri na ile iendayo masika... na tukumbuke pia daladala zinazidi ongezeka... fujo zitapungua kwa kuihamisha hiyo stendiWanapeleka kalibu na viwanja vyao, huu ni ujinga kabisa na ni kama serikali pia haina mipango ya mda mrefu, yani kimji kama Lamadi ya Mwanza pia wanaamisha wakati stendi ndo imechangamsha mji
Stendi ya hice ukaiweke karibu na hospitali? Mpango upo vizuri na umesimama. Palikuwa na fujo sana paleHii ni kero na si maendeleo. Kwa mfano mtu unatoka Kihonda kuelekea Hospitali kubwa kuna ulazim gani wa kwenda kupelekwa huko stand pembezoni ya mji?.
Nashauri stand ya Bajaji ingeachwa iendelee pale mjini, au kuwe na vituo vya Hice karibu na Hospitali kubwa ya Mkoa na pale masika kile kituo cha Hice kiendelee kuwepo.
Kituo cha Masika opposite na NMb kimefungwa? Ila kwa kile cha mjini kilikuwa kimebanana sana. Lakini kukipeleka Mafiga nako ni mbali sanaHii ni kero na si maendeleo. Kwa mfano mtu unatoka Kihonda kuelekea Hospitali kubwa kuna ulazim gani wa kwenda kupelekwa huko stand pembezoni ya mji?.
Nashauri stand ya Bajaji ingeachwa iendelee pale mjini, au kuwe na vituo vya Hice karibu na Hospitali kubwa ya Mkoa na pale masika kile kituo cha Hice kiendelee kuwepo.
automatically... kuna root zinaweza kuongezeka ama kuna vituo vinaweza vinaongezeka... mfano root ya kihonda mjini... inaweza ikawa Via kihonda magorofani kuja ipoipo, ama kupitia yale mataa ya msamvu shule kuja tumbaku, ama kupitia masika kuja sabasaba,Kituo cha Masika opposite na NMb kimefungwa? Ila kwa kile cha mjini kilikuwa kimebanana sana. Lakini kukipeleka Mafiga nako ni mbali sana
Kuhamisha stand haiepukiki, ni moja ya matokeo ya maendeleo na ukuaji wa miji.
Ya Dar es salaam ilikua kisutu, ikahamia ubungo zilikua km9 toka mjini. Sasa imetoka ubungo imepelekwa mbezi Luis km26 toka mjini na bado watu wanadunda tuu
Usiogope mabadiliko
Kituo kilichoachwa ni kile cha Hice za kwenda Mikese tu. Hice zote na Bajaji zimeelekezwa kwenda kituo cha Mafiga hivyo kumeongeza kero kwa watu wanaoenda maeneo ya mjini kati.Kituo cha Masika opposite na NMb kimefungwa? Ila kwa kile cha mjini kilikuwa kimebanana sana. Lakini kukipeleka Mafiga nako ni mbali sana
Niliandika hiviHata ubungo Tanesco pale chini palikua na Stendi ya Daladala sahivi iko mbezi Luis kitambo sana pale pamebaki gofu tuu
Na mwendokas itafik kibaha
Sio tu Morogoro hata Dar-es-Salaam vituo vya mabasi yakwenda Mikoani na nchi jiani.Huu mtindo wa hovyo mno , ina maana kila stend ikibanana mnahamisha , ikibanana tena mnahamisha mwisho watafika Dodoma au Iringa Kwa kuhamisha hamisha , Kwa nn wasijenge nyingine karbu wakatenganisha Tu route , huku zikabaki za kwenda kule na stemd mpya zikabaki za route nyingine kuliko kupeleka watu pori
Daladala zilikuwa zinaleta kero pale kwa watumiaji wengine wa barabara
Tatizo la Mprogoro barabara ni finyu mno. Kama ile barabara ya Masika kuja hapo stendi na ile ya kutoka Manispaa hadi roundabout ya Sua zingeongezwa ili zikidhi mahitaji. Hii idea ya kuhamisha stendi kupeleka kijijini haina mantiki kabisa.ukweli ni kwamba ile stendi ya pale mjini Morogoro... ilikuwa ni kero kwa watumiaji wa barabara za Boma pamoja na hii ya madaraka, ile iendayo halmashauri na ile iendayo masika... na tukumbuke pia daladala zinazidi ongezeka... fujo zitapungua kwa kuihamisha hiyo stendi
Hili ndio la muhimu,stand waipeleke hata mzumbe,ila abiria akifika ilipokua stand ya mwanzo akiomba kushushwaNashauri magari yaruhusiwe kushusha na kupakia abiria katikati ya mji bila kufanya maegesho ya zaidi ya dakika
Tatizo la Mprogoro barabara ni finyu mno. Kama ile barabara ya Masika kuja hapo stendi na ile ya kutoka Manispaa hadi roundabout ya Sua zingeongezwa ili zikidhi mahitaji. Hii idea ya kuhamisha stendi kupeleka kijijini haina mantiki kabisa.
Basi kama vp wahamishe stendi lakini wasiue kabisa route ya kwenda mjini kati. Sasa kama mtu anatoka Lukobe anafanya kazi AgaKhan inakuwaje?
Unashukia masika au fayaBasi kama vp wahamishe stendi lakini wasiue kabisa route ya kwenda mjini kati. Sasa kama mtu anatoka Lukobe anafanya kazi AgaKhan inakuwaje?