Basi hizi zitakua ni habari za uongo Polisi na vyombo vya habari haviwezi kua kimya kwenye issue kubwa km hii .Ilikuwa ni usiku wa kuamkia tarehe 7 Nov 2018 mjini Morogoro maeneo ya Masika ambapo askari wawili wa FFU wakiwa rindoni katika benki ya CRDB tawi la Morogoro Mjini waliona vijana wawili wakizozana nje ya uzio wa benki.
Askari akawambia wakazozanie mbali na benki wale vijana wakatii wakavuka barabara wakaendelea na mijadala yao askari akaona dharau akafyatua risasi juu wale vijana wakakimbia, kukimbia askari akawafuata. Ina maana akatoka nje ya uzio wa benki vijana wakatokomea uchochoroni, yule askari akafyatua risasi nyigine ikapita dirishani ikamkuta raia aliyekuwa amepakata mtoto ikapita upande wa sikio la upande mmoja ikatokea upande wa pili akawa marehemu na ikamchana mwanafamilia mwingine sikio nae anaanguka chini ila haikumuua.
Tunavyozungumza Polisi wako kimyaa wala vyombo vya habari kusema lolote juu ya hili
Hebu rekebisha sehemu.Hivi ukichanwa na marisaa/risasi sikioni huumii?Ungeandika ..."ila hakufa"...Ilikuwa ni usiku wa kuamkia tarehe 7 Nov 2018 mjini Morogoro maeneo ya Masika ambapo askari wawili wa FFU wakiwa rindoni katika benki ya CRDB tawi la Morogoro Mjini waliona vijana wawili wakizozana nje ya uzio wa benki.
Askari akawambia wakazozanie mbali na benki wale vijana wakatii wakavuka barabara wakaendelea na mijadala yao askari akaona dharau akafyatua risasi juu wale vijana wakakimbia, kukimbia askari akawafuata. Ina maana akatoka nje ya uzio wa benki vijana wakatokomea uchochoroni, yule askari akafyatua risasi nyigine ikapita dirishani ikamkuta raia aliyekuwa amepakata mtoto ikapita upande wa sikio la upande mmoja ikatokea upande wa pili akawa marehemu na ikamchana mwanafamilia mwingine sikio nae anaanguka chini ila haikumuua.
Tunavyozungumza Polisi wako kimyaa wala vyombo vya habari kusema lolote juu ya hili
Na ushahidi wao utakuwa waliliona gari la Mbowe limepita jirani na eneo hilo baada ya siku mbili.Vibweka!Utasikia kesi anapewa mbowe
Na kama ungekuwa umeishika ungeweza kuitupa hata kama ndani yake umeona "chura"!Hii ndiyo nchi tuliyo nayo kwa sasa hivi!
Na kama ungekuwa umeishika ungeweza kuitupa hata kama ndani yake umeona "chura"!Hii ndiyo nchi tuliyo nayo kwa sasa hivi!
Na akaacha lindo.Hakufikiria kuwa labda vijana hao walikuwa wanamchezea picha ili aache lindo wamkonki konki!First class askari zumbukuku aisee!Walishakimbia kwann akawafuata tena
HahahahaHaya ni mambo ya kawaida risasi kupinda ikampata mwingine
Uko kama mimiYale Yale ya akina akwilin ndio maana mie polisi akiuwawa huwa nafurahi sana!
Polisi ndio wauaji wa raia unafikiri itasaidia nini kesi ya kima umpelekee ngedereDuh
Anaitwa nani?
Mmeripoti polisi?
colateral damageDah! inasikitisha sana aisee,
Uchunguzi wa kina ufanyike hapa na kisha sheria ichukue mkondo wake,
Poleni sana wafiwa na rest in peace marehemu.
Weka hapa huo Ukweli wako sio kubwaja tu walah walah walah nini??UWONGO MTUPU WALAHI
Bahati mbaya. mistake in fact, hakuna polisi kichaa afyatue tu risasi ovyo ovyo, kuna kitu mtoa mada unaficha, watu kuzozana tu askari wafyatue risasi hiki kitu sijawahi kukiona popote hii habari ni ya kimajungu majungu.Ilikuwa ni usiku wa kuamkia tarehe 7 Nov 2018 mjini Morogoro maeneo ya Masika ambapo askari wawili wa FFU wakiwa rindoni katika benki ya CRDB tawi la Morogoro Mjini waliona vijana wawili wakizozana nje ya uzio wa benki.
Askari akawambia wakazozanie mbali na benki wale vijana wakatii wakavuka barabara wakaendelea na mijadala yao askari akaona dharau akafyatua risasi juu wale vijana wakakimbia, kukimbia askari akawafuata. Ina maana akatoka nje ya uzio wa benki vijana wakatokomea uchochoroni, yule askari akafyatua risasi nyigine ikapita dirishani ikamkuta raia aliyekuwa amepakata mtoto ikapita upande wa sikio la upande mmoja ikatokea upande wa pili akawa marehemu na ikamchana mwanafamilia mwingine sikio nae anaanguka chini ila haikumuua.
Tunavyozungumza Polisi wako kimyaa wala vyombo vya habari kusema lolote juu ya hili