Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
UZAZI: Mwanamke mmoja mkazi wa Mkoa wa Morogoro amejifungua watoto mapacha wanne katika Wodi ya Wazazi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa huo.
Mwanamke huyo aliyefahamika kwa majina ya Asha Mashaka, amepata watoto hao siku ya jana(Ijumaa)
Bi. Asha amejifungua kwa Opareshini na sasa yeye pamoja na Watoto wake hao wanaendela vyema Hospitali hapo.
Mwanamke huyo aliyefahamika kwa majina ya Asha Mashaka, amepata watoto hao siku ya jana(Ijumaa)
Bi. Asha amejifungua kwa Opareshini na sasa yeye pamoja na Watoto wake hao wanaendela vyema Hospitali hapo.