Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Aliyeuawa ni Leonard Lihumba(52) Askari wa Jeshi la Wananchi(JWTZ), katika tukio hilo ameporwa pikipiki aliyokuwa akitembelea
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Wilbroad Mutafungwa amesema tukio hilo lilitokea tarehe 30/May majira ya saa nne asubuhi
Maujai haya yalifanyika katika mashamba ya mkonge ya Tungi Wilaya
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro SACP Wilbroad Mutafungwa amesema tukio hilo lilitokea tarehe 30/May majira ya saa nne asubuhi
Maujai haya yalifanyika katika mashamba ya mkonge ya Tungi Wilaya