Tuliwahi kuulizwa humuhumu JF kama kuna mtu amewahi muona maiti au kabuli la masai zaidi ya lile la sokoine, kazi kwa yule mleta uzi afuatilie huyu atazikwaje na wapihakufahamika majina yake licha ya kutambulika kuwa ni jamii ya Kimasai kutokana na mavazi aliyovaa
Treni imepelekwa Garage!!Treni vipi?
Apumzike mahala salama.