tumbili mweusi
New Member
- Feb 15, 2021
- 3
- 2
Habari wana JamiiForums,
Kumekuwa na mgogoro wa muda mrefu wa wakulima na wafugaji uliotokana na wafugaji kulisha mifugo yao kwenye mashamba ya wakulima kuanzia mwezi wa sita mwaka2021, hatua mbalimbali zimechukuliwa na mpaka sasa hakuna ufumbuzi wa tatizo hili:
HATUA HIZO NI:
1. Kuwashirikisha viongozi wa wilaya wakiongozwa na mkuu wa wilayOC OCD na viongozi waandamizi bila mafanikio.
2. Kukamata mifugo na kuwafungungulia mashitaka mahakamani bila mafanikio
MATOKEO YA MGOGORO
1. Kendelea kulishiwa mazao ya wakulima na kutishia baa ya njaa
2. Uharibifu mkubwa kwenye miondombinu ya skimu ya umwagiliaji iliyogharimu pesa nyingi bilioni 6.5
3. Kuongezeka kwa chuki za wananchi dhidi ya serikali yao na kumkataa mkuu wa wilaya
4. Kubakwa na unyanyasaji wa kijinsia wanaofanyiwa wakulima hasa akina mama na Wanaume wa kisukuma
5. Kuongezeka kwa majeruhi ambapo tarehe28.12.2021 watu 6 wakulima wameshambuliwa vibaya na wafugaji na kupelekea mmoja wao kufariki dunia baada ya kupigwa na wafugaji
Kumekuwa na mgogoro wa muda mrefu wa wakulima na wafugaji uliotokana na wafugaji kulisha mifugo yao kwenye mashamba ya wakulima kuanzia mwezi wa sita mwaka2021, hatua mbalimbali zimechukuliwa na mpaka sasa hakuna ufumbuzi wa tatizo hili:
HATUA HIZO NI:
1. Kuwashirikisha viongozi wa wilaya wakiongozwa na mkuu wa wilayOC OCD na viongozi waandamizi bila mafanikio.
2. Kukamata mifugo na kuwafungungulia mashitaka mahakamani bila mafanikio
MATOKEO YA MGOGORO
1. Kendelea kulishiwa mazao ya wakulima na kutishia baa ya njaa
2. Uharibifu mkubwa kwenye miondombinu ya skimu ya umwagiliaji iliyogharimu pesa nyingi bilioni 6.5
3. Kuongezeka kwa chuki za wananchi dhidi ya serikali yao na kumkataa mkuu wa wilaya
4. Kubakwa na unyanyasaji wa kijinsia wanaofanyiwa wakulima hasa akina mama na Wanaume wa kisukuma
5. Kuongezeka kwa majeruhi ambapo tarehe28.12.2021 watu 6 wakulima wameshambuliwa vibaya na wafugaji na kupelekea mmoja wao kufariki dunia baada ya kupigwa na wafugaji