Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Polisi wamemkamata mbunge wa jimbo la Kilombero, Mh. Peter Lijualikali, jioni ya leo, alhamis, 28/09/2017, baada ya kumaliza kikao cha ndani cha chama mjini Malinyi Ulanga.
Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali na viongozi watatu wa CHADEMA, wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kufanya mkusanyiko usio halali.