JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,296
- 5,431
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia watu wawili kwa shutuma za kuiba bango lenye picha ya Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na vitambaa vyenye rangi ya bendera ya Taifa ambavyo hutumika kupambia jukwaa.
Kamanda wa Polisi mkoani humo, Fortunatus Muslim amesema waliokamatwa Emanuel John na Dickson Deus wote wote ni wakazi wa Morogoro.
Musilimu ameongeza kuwa Bango hilo lilitakiwa kutumika katika sherehe za uzinduzi wa miradi ya Jeshi la Magereza jijini Dodoma.
Chanzo: UFM
Kamanda wa Polisi mkoani humo, Fortunatus Muslim amesema waliokamatwa Emanuel John na Dickson Deus wote wote ni wakazi wa Morogoro.
Musilimu ameongeza kuwa Bango hilo lilitakiwa kutumika katika sherehe za uzinduzi wa miradi ya Jeshi la Magereza jijini Dodoma.
Chanzo: UFM