Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,137
- 18,973
Siku wakileta shida watakaoleta shida Sheria ichukue mkondo wake.., so long as mipango miji ramani inayonyesha hio sehemu ni ya Taasisi...
Kama wamevamia hao na wale wanaovamia mitaani kwenye makazi na kujenga nyumba za ibada kama uyoga nao washughulikiwe... Tukienda kwa kufuata Sheria za Nchi mbona mambo yatakwenda tu bila shida...
Sidhani kama kuna sheria kwamba Uzio wa Taasisi A hauruhusiwi kuwa na Uzio wa Taasisi B iwapo inapoishia A ndio mali ya A..., Ila kuna sheria ya chochote kinachofanyika A au B kisiwabughuzi watu wa A, B C au hata wapita njia
Kama wamevamia hao na wale wanaovamia mitaani kwenye makazi na kujenga nyumba za ibada kama uyoga nao washughulikiwe... Tukienda kwa kufuata Sheria za Nchi mbona mambo yatakwenda tu bila shida...
Sidhani kama kuna sheria kwamba Uzio wa Taasisi A hauruhusiwi kuwa na Uzio wa Taasisi B iwapo inapoishia A ndio mali ya A..., Ila kuna sheria ya chochote kinachofanyika A au B kisiwabughuzi watu wa A, B C au hata wapita njia