Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
Manispaa ya morogoro Kuna eneo nadhani ukitoka hospital kubwa Kama unaelekea bigwa Kuna sehemu mkono wa kulia Kuna kanisa Kama sio yehova ni sabato; kanisa Hilo linapakana ukuta tu na eneo linapojengwa msikiti mkubwa Sana. Sasa naomba mamlaka husika za kiserikali zitolee ufafanuzi kwamba hakutakuwa na shida huko baadae? Wakati Hawa wakiimba mapambio huku wengine wanapiga adhana.
Mods naomba msifute huu Uzi.
Mods naomba msifute huu Uzi.