mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,516
- 19,876
Mkuu inategemea mtoto ni mbegu aina gani..unaweza ukakuta mtoto ana 17 amejengeka umbo na misuli...kupambana nae ni sawa na kujifungia na chatu chumbani....kinachokupa moyo MZAZI ni vile ulimlea huyo mtoto tangu mdogo unaona kama hawezi Kukufanya chochote.. Mkuu mtoto wa kupiga ni wa kike,,,,mtoto wa KIUME utajitafutia matatizo...
Huyo baba alikuwa amelewa au ?