Morogoro: Kijana mwenye umri wa miaka 17 amuua baba yake kwa kumpiga ngumi

Hata avute bangi ya jamaika sijafikia hatua ya kupigwa na mtoto. Km hyo bangi tumeivuta sn enzi hizo na mdingi unamkwepa hata asijue coz displini ilkua mbele. Dingi anakunywa lakini hawezi rudi nyumbani anapepesuka na yuko ontime saa mbili kashafika home olewako uje baada yake ndio utajua dunia inazunguka jua.
Usiombe yakukute! jitahidi kuwapa malezi bora watoto wako!
 
Kizazi jeuri kweli hii yani kitendo cha kumpiga baba yako yaani ni kukosa adabu maana tayari yule ni mzazi wako lazima umueshimu kivyo vyote.
 
Kuna uhusiano gani kati ya umri na ngumi?
Mtu mwenye umri wa miaka 47 hawezi kua mzee, labda kama mwili wake unamatatizo ya kiafya. Nakusudia kua kijana mwenye miaka 17 hata akipewa rungu hawezi kumpiga mtu mwenye miaka 47 except huyo mtu akiwa mlevi au ana matatizo ya kiafya.

Sikatai kwamba haiwezekani kabisa kwa mtu mwenye miaka 17 kumpiga mtu mwenye miaka 47, kuna mazingira chocheo ambayo yakiwepo jambo hilo linawezekana.

Mtaani kuna mzee anacheza around 68 lakini kwa mkono hapimiki ilifikia hatua mpaka mapolisi walimtengua mkono wa kushoto ili kumzuia asiendelee kupiga watu japo hakua mkorofi
 
Hata avute bangi ya jamaika sijafikia hatua ya kupigwa na mtoto. Km hyo bangi tumeivuta sn enzi hizo na mdingi unamkwepa hata asijue coz displini ilkua mbele. Dingi anakunywa lakini hawezi rudi nyumbani anapepesuka na yuko ontime saa mbili kashafika home olewako uje baada yake ndio utajua dunia inazunguka jua.
... kuangalia taarifa ya habari! Ni kweli kuna madingi yana sheria za kikoloni sana na akishaingia yeye grili zote zinafungwa hakuna mtu kuingia baada yake! Madogo wa familia dizaini hii wanapatwaga na msongo wa mawazo sana!
 
Kamanda anaitwa MUTAFUNGWA, kijiji MANYANI,

DOGO HAPONI MITI YOTE ITATELEZA
Mkuu umenifikurisha kidogo!

Wanaosema uwe makini linapokuja suala la kumchagulia mtoto jina, maana yake jina linaweza kuakisi maisha halisi ya mtoto positively ama negatively.

Kwanfano: Arsen Wenger na timu ya Arsenal ama yule hakimu mmoja anaitwa Huruma Shaidi!

Sasa na huyo Mutafungwa, yaani jina linaendana na mazingira ya kazi kabisa!
 
Mkuu umenifikurisha kidogo!

Wanaosema uwe makini linapokuja suala la kumchagulia mtoto jina, maana yake jina linaweza kuakisi maisha halisi ya mtoto positively ama negatively.

Kwanfano: Arsen Wenger na timu ya Arsenal ama yule hakimu mmoja anaitwa Huruma Shaidi!

Sasa na huyo Mutafungwa, yaani jina linaendana na mazingira ya kazi kabisa!
Alijua jina lake akatafuta kazi inayoendana nalo
 
Hayo yote yanatokea kwa sababu mzazi alishindwa kuweka mazingira ya kuheshimiwa na watoto.

Kunamalezi mengine yanafanya mtoto akuchukulie poa tu na ndio hatma ya haya mambo
Umesema sahihi kabisa. Ila at some point, watoto wanabadilika hata kama wakiwa wamelelewa vizuri.
 
unaweza mlea mtoto katika malezi bora na bado akakengeuka tu...tuna mifano mingi tu huku mtaani ya wazazi waliojifanya wenyewe ndo wanajua kulea katika malezi bora mwisho wa siku tunawaona watoto wao wanapoishia...

so we mkuu lea wanao katika malezi bora but usisahau kuomba mungu amsimamie mwanao,ukijifanya we ndo unajua kulea katika malezi bora na kuwaona wote waliopotea hawakulelewa katika malezi bora kitakachoweza tokea kwa wanao na uhakika kitakubadilisha tu mtazamo
... uko sahihi 100%. Kuna mzee mmoja jirani yangu ni profesa na mkewe pia profesa! Wako na watoto watano ila waliotoboa ni wawili tu; hao wengine wanasikitisha sana. Malezi ya utotoni super tena mfano bora wa kuigwa katika jamii ila walivyoingia vyuo vikuu sijui walipatwa na nini wale madogo saa hizi wanavuta bange tu.
 
Nikiwa mtoto nilimuonaga dingi mnoko sana lakini namm mlivyokuwa nikawa na watoto nilikuja kumuelewa, hv mtoto ambaye hafiki hata miaka 15 anakujia home saa tatu usiku bila sababu ya msingi hivi unamuelewa kweli.

Unajua mtoto anaweza fanya uhuni wake vzuri tu ila katika ule muda wa kihalali(mchana) na ndio chance ya vijana wengi walio chini ya mzazi lakini ukiona mtoto mpk saa tatu ya usiku yuko mitaani tu Wala haogopi kuwa ni muda kurudi nyumbani ndio dharau zinaanzia hapo.
... kaka umri uliotaja hapo si ndio wengi kizazi hiki wanachakarika mtaani kwenye mabodaboda na bajaji wapige hela? Saa 3 si ndio muda wa pesa umechanganya? Labda kuanzia saa 6 sio saa 3.
 
Mkuu kuna mtoto wa miaka 17 lakini nni mkubwa maumbile kama 25 umri.. Kwa kifupi kumpiga mtoto wa zaidi ya miaka 17 ni sawa na kujifungia na paka chumbani... Ni kujitafutia matatizo... Tafuta adhabu zingine na sio kumpiga
Alikuwa amelewa nini? Huyo mshua naye rojo. Mwanangu atakula bakora hata kama ana miaka 30
 
Back
Top Bottom