Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
Jeshi la polisi mkoani Morogoro linamshikilia Yohana Lameck (17) kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi Issaya Lameck (47) kwa kumpiga ngumi na kumkanyaga sehemu mbalimbali za mwili wake.
Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, amesema tukio hilo limetokea Mei 31, 2020 majira saa 12 asubuhi katika kitongoji cha Manyani kata ya Mkalama, Tarafa na Wilaya ya Gairo.
Mutafungwa amesema kulikuwa na ugomvi baina ya mtoto na baba.
Kamanda amesema mtuhumiwa huyo anashikiliwa na polisi kwa ajili ya uchunguzi na upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani kutokana na makosa aliyoyafanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, amesema tukio hilo limetokea Mei 31, 2020 majira saa 12 asubuhi katika kitongoji cha Manyani kata ya Mkalama, Tarafa na Wilaya ya Gairo.
Mutafungwa amesema kulikuwa na ugomvi baina ya mtoto na baba.
Kamanda amesema mtuhumiwa huyo anashikiliwa na polisi kwa ajili ya uchunguzi na upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani kutokana na makosa aliyoyafanya.
Sent using Jamii Forums mobile app