Morogoro: Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii afungua Kikao cha kujadili Uhifadhi Malikale yaliyokasimishwa kwa Taasisi za Wizara

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,811
4,533
1598708033953.png

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce K. Nzuki akitoa Hotuba ya Ufunguzi katika Kikao cha kujadili Hali ya Uhifadhi na Uendelezaji wa Maeneo ya Malikale yaliyokasimishwa kwa Taasisi za Wizara kilichofanyika jana katika Ukumbi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, (TFS ) Kituo cha Mbegu za Miti Morogoro. Aliyekaa Kushoto kwa Katibu Mkuu, ni Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Kale, Dkt. Fabian Kigadye na (kulia) ni Kaimu Mkurugenzi wa Uhifadhi na teknolojia - Idara ya Mambo ya Kale, Dr. Bwasiri Emmanuel.

1598708289650.png

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce K. Nzuki akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kufungua Kikao cha kujadili Hali ya Uhifadhi na Uendelezaji wa Maeneo ya Malikale yaliyokasimishwa kwa Taasisi za Wizara kilichofanyika jana katika Ukumbi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, (TFS ) Kituo cha Mbegu za Miti Morogoro.


1598707298162.png

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Aloyce K. Nzuki akifurahia jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dkt. Noel Lwoga (katikati) pamoja na Mtaalam wa Malikale Prof. Audax Mabula mara baada ya ufunguzi wa Kikao cha kujadili Hali ya Uhifadhi na Uendelezaji wa Maeneo ya Malikale yaliyokasimishwa kwa Taasisi za Wizara kilichofanyika katika Ukumbi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania, (TFS ) Kituo cha Mbegu za Miti Morogoro.
 
Back
Top Bottom