Morogoro: Kakakuona atabiri neema. DC awataka wakulima wafuate sheria za kilimo

Wangemuwekea chupa ya COVIDOL or NIMCAF na hakika angezikimbilia na hiyo ingekuwa ni tafasiri ya kukubwa na janga la corona
 
KAKAKUONA AONEKANA MVOMERO ATABIRI NEEMA

Mnyama Kakakuona ameonekana Wami Sokoine, Wilaya ya Mvomero ambapo Viongozi wa Kimila na Kidini walimtumia ili aweze kutabiri hali ya mwaka huu.

Walimuwekea zana za kimila, zana za umeme na vifaa vingine ambapo alipita kati ya unga na maziwa hali iliyoonekana kuwa ishara ya neema kwa mwaka 2021.

Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Albinus Mgonya amesema, mbali na imani kuwa msimu utakuwa mzuri, amewataka Wananchi wazingatie kilimo bora kwa kuzingatia Sheria za Kilimo.

Nami All - Rounder nawakumbusheni hata mwaka juzi alionekana Mikoa ya Nyanda za Kati tukaambiwa kuna neema ila kukawa na Msoto tupu tu.

Taarifa: aboodmediatz
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom