Hatari!!Hahahaaaa...... Aika!
Marangu hiyo bwashee!
Hahahaaaa....... Nimeambiwa Marangu hiyo!Chato kitovuni bwashee 😂😂
Hahahaaaa...... Ndio wanazitema sasa chini ya usimamizi wa TAKUKURU!Yohana mbatizaji bana!
Wakale wapi, masemina hakuna, mishahara hakuna ongezeko, bei za sukari, mafuta ya kula juu!?
Everyday is Saturday...............................
Aika leo sijui kama atampa show jamaa yakeHahahaaaa........watu siyo waoga bwashee!
Hiyo ndiyo dawa naona meya kaaumbuliwaNimeshangaa sana, sema wananchi wa leo siyo waoga hasa wakiwa mbele ya jemedari Rais Magufuli wanakuchoma tu!
Huyo ni muda tu akili zinarudi tena lumumbaMkuu endelea tu kumeza dawa zako bwashee. Uko vizuri siku hizi dishi limekaa sawa usiliache likayumba tena.
HahahaaaaNimesikia maongezi yamevuja kati ya aliekuwa mgombea umeya na mjumbe kuhisu hela ilitoka hadi bashiru yumo kwenye mgao ili jamaa apitishwe kuwa meya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachaga kwa urafi, ndio maana Magufuli amewanyima vyeo wangelichafua sana serikali kwa rushwaJivi Aika ni majina ya wapi maana huyu mtumishi wa manispaa anamiliki vizimba 10!
Jamaa anauliza kabisa mgao uliendaje maana hela alia hia nyingi sanaHahahaaaa
Mienendo yake siku za karibuni haifanani na wana lumumba wenzake, hata kipara kipya na mwenzake YEHODAYA naona akili zimeanza kuwarudiaMkuu endelea tu kumeza dawa zako bwashee. Uko vizuri siku hizi dishi limekaa sawa usiliache likayumba tena.
Bashiru nae atasimamishwa??Jamaa anauliza kabisa mgao uliendaje maana hela alia hia nyingi sana
Sent using Jamii Forums mobile app