Wewe wa juzi. Kuna kipindi Shabiby iliacha njia na kugonga na kuuwa ngombe 47Bahati mbaya tu. Tangu niifahamu kampuni hii ya shabiby na basi zake leo ndio nasikia imepata shida. Wapo makini mno. Silaumu hata kidogo.
Wewe wa juzi. Kuna kipindi Shabiby iliacha njia na kugonga na kuuwa ngombe 47Bahati mbaya tu. Tangu niifahamu kampuni hii ya shabiby na basi zake leo ndio nasikia imepata shida. Wapo makini mno. Silaumu hata kidogo.
Namfahamu Ahmed Mohamed shabiby,namfahamu toka anaanza kuchipua na kampuni yake mpaka kuja kugombea ubunge wa Gairo,namfahamu marehemu baba yake,Kaka zake wadogo zake,Dada zake,marehemu mkewe,kiufupi naifahamu familia yake.uongo mwingine Leta tu huo mliozoea wa chama chenu.Wewe unadhani huyo mbunge ndio tajiri " mwenyewe"........no huyo ni mrithi baada ya mwenye Shabiby kugongwa na basi lake la Shabiby!
Acha uongo mzee wangu,mzee shabiby hakua mmiliki Ila mwanae Ahmed ndie mmiliki,mzee alipata ajali ingiloli akitokea kitange shamba.ujuaji peleka lumumba plizWewe unadhani huyo mbunge ndio tajiri " mwenyewe"........no huyo ni mrithi baada ya mwenye Shabiby kugongwa na basi lake la Shabiby!
Nadhani hiyo ndo ile ilikua nenda Rudi,jioni iko mjini Tena.Mkuu Dodoma Wadeka ilikuwa ni SHUKRANI siyo CHAMPION
Hili basi lilikuwa linakimbia balaa. Niliwahi kupanda mara moja tu DAR - DOM. Yaani zumetoka Dar 1:00 Asubuhi na zikaingia Dom 6.
Kwa spidi ile niliacha kabisa kupanda
Ajali yake ilitokeaje bwashee?Acha uongo mzee wangu,mzee shabiby hakua mmiliki Ila mwanae Ahmed ndie mmiliki,mzee alipata ajali ingiloli akitokea kitange shamba.ujuaji peleka lumumba pliz
Inaitwa Speedometer, zipo nyingi tu Playstore but Mimi naipenda zaidi hii. Kwa mfano hapa inanionyesha umbali niliotembea kuanzia SAA sita mchana, (600km)View attachment 1258963
Mkuu unatokea mpwapwa?Hii ni Speedometer screenshot, Basi linaitwa Ngasere tulikua tunatoka Dodoma kwenda Mpwapwa, angalia hapo kuna kitu inasoma 110km/hr but Kuna wakati alifika 118km/hr.
Ya Shabiby nimeifuta, huyu ilikua last week basi jipya Namba nadhani ni DNX au DRX sikumbuki vyema but na yeye nilirekodi hadi 110km/hr. Tulitoka Ubungo mchana.
Ngoja niangalie kama naweza kupata ya hili Trinity nililopanda SAA hizi hapaView attachment 1258928
Mkuu unatokea mpwapwa?Ngasere ni Was*nge sana ipo siku na yeye tutaongea kitu kwa jinsi walivyo.
Mara kadhaa nakuwa huko. Pia ni nyumbani.Mkuu unatokea mpwapwa?
Ilikuwaje kuwaje mkuu? Na jee alikufa ama ilikuwaje?Utakuwa umewafahamu hivi karibuni.
Mmiliki wa hayo mabasi aligongwa na basi lake akiwa kwenye gari ndogo!
Niishie hapo!
Nilikuwa natembelea mara kwa mara pale TTC kipindi ile usafiri wa Dar ilikuwa ni Shabiby tu.....ukiikosa unaunganisha Mbande!Mara kadhaa nakuwa huko. Pia ni nyumbani.