cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,768
- 73,435
Uzi umenifurahisha na waliofikiri wanajua kumbe nao hawajui...
KigagulaUzi umenifurahisha na waliofikiri wanajua kumbe nao hawajui...
Unarudia makosa,Kichwa cha habari, nilifikiri nchi ya Morroco imesalimu amri katika jambo fulani.
Ni Salender na sio surrender.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha lile ni kivutio na watumiaji ni wale wa O'bey, masaki sasa hiyo fly over Morocco ita kaaje na itamwaga wapi.Wa
wajenge flyover pale Morrocco junction na pale Selander bridge, hilo daraja la baharini waachane nalo