Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
- Thread starter
- #41
Yaishe mkuu🙏🤝Tukosane kwa mengine ila si kwa hili! Samahani mkuu,sikutegemea kuwa kuna siku ungenitukana kwa ajili ya ujinga kama huu!
Yaishe mkuu🙏🤝Tukosane kwa mengine ila si kwa hili! Samahani mkuu,sikutegemea kuwa kuna siku ungenitukana kwa ajili ya ujinga kama huu!
Wambie tumefikia hapaYaishe mkuu🤝
kumbe na wewe umegundua hilo.mashairi yake ni yale yale tuSasa diamond mbona mashairi yake ni yaleyale tu ya ngono mara kata mauno,mara chuma mboga..pathetic
Kwahiyo nyimbo za Bob Marley Zilikuwa sio za kuelimisha ?? Au Bob alikuwa Mkenya ?tunajisahaulisha kuwa kashirikishwa,hivi toka lini wabongo tumeanza kutaka nyimbo za ujumbe?
roho mbaya ni mbaya tu,toka lini wajamaica wakaimba ujumbe wakuelimisha.
go chibu, go diamond.
Niwekea jina la wimbo mmoja wa Bob wenye maudhui ya nyimbo kama hii tunayoizungumzia.Kwahiyo nyimbo za Bob Marley Zilikuwa sio za kuelimisha ?? Au Bob alikuwa Mkenya ?
Sasa diamond mbona mashairi yake ni yaleyale tu ya ngono mara kata mauno,mara chuma mboga..pathetic
Jamaica ndo inatokea reggae na dancehall,labda useme huwa hauelewi kinachoimbwa ila hakuna watu wanaongoza kwa kuimba nyimbo za ujumbe na zinazozungumzia maisha halisi kama wajamaicatunajisahaulisha kuwa kashirikishwa,hivi toka lini wabongo tumeanza kutaka nyimbo za ujumbe?
roho mbaya ni mbaya tu,toka lini wajamaica wakaimba ujumbe wakuelimisha.
go chibu, go diamond.
Najua raggae ni mziki wa ujumbe na hisia,lakini dancehall ni mziki wakupart hakuna ujumbe kwenye dancehall ndio mana namtetea chibu alichokiandika ni sawa sawa kabisa.Jamaica ndo inatokea reggae na dancehall,labda useme huwa hauelewi kinachoimbwa ila hakuna watu wanaongoza kwa kuimba nyimbo za ujumbe na zinazozungumzia maisha halisi kama wajamaica
mi wala sizungumzii hyo ishu ya dimond mkuu najaribu kukueleza tu kuwa sio dancehall zote ni za kuparty,msikilize damian marley,tarus riley,konshens,Agent sasco and so forth wanaimba dancehall yenye ujumbe ndani yake.Najua raggae ni mziki wa ujumbe na hisia,lakini dancehall ni mziki wakupart hakuna ujumbe kwenye dancehall ndio mana namtetea chibu alichokiandika ni sawa sawa kabisa.
Kwa kuwa anafahamu mashabiki wake wanapenda vitu hivyoSasa diamond mbona mashairi yake ni yaleyale tu ya ngono mara kata mauno,mara chuma mboga..pathetic
Sasa diamond mbona mashairi yake ni yaleyale tu ya ngono mara kata mauno,mara chuma mboga..pathetic