Mwendesha mashitaka wa mahakama ya uarifu wa kivita iliyopo the haugaue, leo kabla ya saa sita atawataja vigogo walioshiriki au kufadhili na pengine kuchochea vurugu za baada ya uchaguzi huko kenya, je unahisi akina nani watatajwa leo hii? Na kwa wanaotegemea kugombea urais ndoto hiyo ndio kwa heri? Kwa ufupi nahisi hawa wawili, william ruto, kenyata uhuru nk