STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
Hii ishu ni kama ile waliofanya Uengereza kuishikilia meli ya Iran thn siku chache Iran ikashikilia meli za Uengereza 2Iran walikua sahih kwa sabab bila kufanya hivyo wasingefanikiwa lkn hata wamagharib wanatumiaga njia hii kushinikiza kulipwa kwa kutumia kigezo cha zuio kutoka mahkama zao.