Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Vitendo vya wabunge wa CCM kuhamisha samani na vitu vingine kwenye ofisi za wabunge majimboni,jana liliibukia Iringa mjini ambako mbunge mpya kwa tiketi ya chama cha Chadema,Peter Msigwa kukuta ofisi imeondolewa kila kitu pamoja na kung'olewa kwa mapazia! Duh hii kali CHUKUA CHAKO MAPEMA:target: