hakuna lolote hilo ni agizo la jk kwasababu jamaa ni mkristo,
Mimi ni mkristo na nimekuwa nikipanda vyeo wakati wa JK sambamba na wa-kristo wengine.
Going by his 7 years record JK ana mapungufu mengi ila la UDINI halimo! In fact majority of presidential appointees in this country since he came 2 power are using Christian names (though not necessarily be christians) . Akichaguliwa Ndomba utasikia oh huyo ni mwana mtandao, na , akichaguliwa Rished Bade utasikia udini! This is being mean!
Wakristu siku zote wamekuwa reasonable thinkers ila of late sitaki kuamini kama hizi comments za " mkuru ni mdini" kama kweli zinatoka kwa wa-kristo. Please lets stop being driven by unfounded allegations na kuturudisha miaka ya 1940s.